Salute alichoandika ni ukweli hakika,inashangaza CCM badal aya kujibu hoja,mao kila siku wakimbilia sheria tena huku wakijua kabsa wao wako wengi katika bunge letu na hivyo hoja yoyote kutoka kwao hata kama haina mantiki lakini mwenye Chama akisema ndiyo na wabunge wake wanasema ndiyo................kwao wao CHAMA MBELE ila TAIFA LETU na maslahi yake vyote nyuma.................