mtu alie kalia msumari utamjua tu..pole sana M4C mwanzo mwisho...
mkuu kama umechukia sana kunywa sumu ili uwe umemaliza hasira zako
mtu alie kalia msumari utamjua tu..pole sana M4C mwanzo mwisho...
Hata nyinyi chadema mkipata mambo ni yaleyale tumeona viti maalum mmepeana wachaga watupu je hii ni hakiii
madai ya katiba mpya na tume huru ya uchaguzi ni ya msingi, kuacha kuingia katika vikao vyote vya bunge hadi madai hayo yatakapotekelezwa ni ujasiri, kutoka bungeni wakati hotuba ya raisi inaanza ni unafiki, uzandiki, roho mbaya, ubinafsi na kuendeleza chuki zisizo na maana, sasa mwenye akili apime kutoka bungeni na kubaki kipi kinajenga heshima,kushawishi hata wabunge wasio wa chama chako kukubali hoja hizo ili ipatikane katiba na tume huru ya uchaguzi? Ninachofahamu madai ni ya msingi lakn njia iliyotumika inaturudisha nyuma sana, tunawategemea wabunge wa ccm katika hili, acheni utoto na siasa za chuki, chadema wamechemsha na lazima waambiwe, mwanachi ni gazeti kama magazeti mengine na lina interest zake lisimwagiwe sifa hapa.
Your name reflects it all,una kibiongo cha ubongo
Mimi nashangaa baadhi ya watu wanovyoupokea mgomo wa waislam kugomea sensa kwa mtazamo tofauti, haki yao waacheni wagome kwani nao wanaigomea serikali hiyohiyo iliyoHata mimi nimeshangaa jinsi watu tulivyoupokea mgomo wa CHADEMA, yaani kuna watu wameapiza na kuapiza. Nafikiri kufuatana na kanuni za bunge, ni kitu ambacho kipo na hakina adhabu kama Mh Sitta alivyosema, na kwa wanaofuatilia mabunge ya wenzetu hii sio ajabu. Kuna ambao wanatamani kumbeba mheshimiwa rais kwenye mbeleko (mgongoni) kwa jinsi wanavyoona kama kaonewa mno kwa kitendo hiki.
Hata nyinyi chadema mkipata mambo ni yaleyale tumeona viti maalum mmepeana wachaga watupu je hii ni hakiii