Kiatu cha udongo
JF-Expert Member
- Jun 28, 2022
- 443
- 1,158
- Thread starter
-
- #61
Asante kwa ushauriAcha uzwazwa be a real Man. Tumia mbinu ya kimafia nenda dukani na kirikuu kakombe mzigo wote pamoja na makorokoro. Umfungulie kiduka wakati aliemzalisha hakufanya hivyo. Upunguani huo!! Na hapo lijamaa linabonda sana
Nawapa pole sana wanaume walioko kwenye mahusiano na single mothers ambao wazazi wenza wapo hai.Kuna singo mama mmoja nilikua nae serious kwenye mahusiano baba wa mtoto anasema alimtelekeza nikatoa visent vyangu kutunza yeye na mtoto bila hiana kiroho Safi Sasa LEO NADHANI ALISAHAU KUNI "HIDE" WhatsApp status kampost baba wa mtoto kumuwish heri ya siku yake ya kuzaliwa na maneno kede kede ,ITOSHE KUSEMA NIMEISHIWA NGUVU ,,naombeni mnipe nini Cha kufanya baada ya kupata NGUVU hapo baadae
π€£π€£π€£π€£π€£πAcha uzwazwa be a real Man. Tumia mbinu ya kimafia nenda dukani na kirikuu kakombe mzigo wote pamoja na makorokoro. Umfungulie kiduka wakati aliemzalisha hakufanya hivyo. Upunguani huo!! Na hapo lijamaa linabonda sana
Yes mkuu.Vipi kuhusu duka nilomfungulia nimfukuze au?
Penda kwa akili, usipende kwa moyo hasa unapompenda mke wa wanaume mwenzio.ITOSHE KUSEMA NIMEISHIWA NGUVU ,,naombeni mnipe nini Cha kufanya baada ya kupata NGUVU hapo baadae
Kwahiyo yeye unamuogopa haumuulizi, sisi ndio unatuuliza unatuchukuliaje? πMpaka Sasa sijamtafuta Ila katuma tu msg ya kunisalimia tu sijajibu
Screenshot hiyo status kwanzaMpaka Sasa sijamtafuta Ila katuma tu msg ya kunisalimia tu sijajibu
[emoji120]Yes mkuu.
Kama una access nalo timua aende kwa amani. Na kama ulitoa ahadi ya kumupa na ukagundua anakufanya boya unaweza kumdai gharama zote kisheria.
Kuna watu humu wanaweza kusema kuwa kumuwish baba wa mtoto birthday ni normal thing. Hapana ni beyond the parameters. Alipaswa asipokee kwako matunzo ya mtoto ambaye anasema alisuswa lakini kama anayapokea maana yake mmepangwa foleni wewe, baba mtoto na jamaa wengine usiowajua
Bado Nina hasira nisije fanya kitu kibaya ndio maana nimekimbilia humu kwanza naamini nitapata washauri wazuri kabla ya kuchukua hatuaKwahiyo yeye unamuogopa haumuulizi, sisi ndio unatuuliza unatuchukuliaje? [emoji16]
Kua na huruma na mtoto wa mwanamke mwenzio
π¨π¨π¨π¨π¨π¨Koma mbwa wewe
Unakuwaje na mahusiano na mke wa mtu?
Kufa
Jiue
Jitundike
Aitoe wapi wakati kakunywesha chai ya saa tano πScreenshot hiyo status kwanza
Silalamiki mkuu nilitegemea anipe ushauriSasa unalalamika nini?
π¨π¨π¨π¨π¨....suala la kuwa na mahusiano na single mothers tulishalitolea maelekezo mara nyingi sana tatizo tunayojadili kwenye vikao huwa mnayaacha hapo hapo na kujiona nyie ni ma-mastr peace of mind kwa hiyo acha yakukute.!
π¨π¨π¨π¨π¨Unakuwa serious na single mother we ni bonge la Fala ,
Silalamiki mkuu nilitegemea anipe ushauri