Simwoni Betty Mkwasa,
katemwa nini?
vipi mkuu unacheka
Semina elekezi lini?
CCM wameamua kujimaliza? Hii list itazidisha vita vya wenyewe kwa wenyewe. Imejaa wapambe!
Wana JF
Baada ya kupitia Majina ya Ma DC Nimeona Mkono Wa Ridhwani kuwapa Ulaji maswahiba wake ndani ya Genge la UVCCM
1)Paul Mzindakaya(Mkiti Uvccm Rukwa
2)Hassana E Masala(Mkiti Uvccm Lindi)
3)Ulega ( Mkiti Uvccm Mkoa Pwani)
4) Mrisho GAMBO
5)Anthony Mtaka (Huyu hata Mzumbe hajamaliza)
Vijana Hawa inasadikika ni Vijana Wa Rdhwani ndani ya Uvccm na Inasemekana walishatambu UDC wao miezi Sita ilopita
Baada ya Uteuzi huu nimejiridhisha Nguvu ya huyu KIJANA ndani utawala Wa Baba Yake
Ndo maana nna hasira na ccm na watoto wa vigogo..ntajinyonga juu yao.upuuzi huu
lazima kuna hujuma ... yaani Pasco wa Jf amekosa ukuu wa wilaya !!!!!