Wakuu Nina shida ya buku

Wakuu Nina shida ya buku

Wakikupa unipe nii sukie mkeka tutajuana baadae mhindi akilegeza.
 
Wewe unaweza , of all the people unaofahamiana nao uje kuomba buku kwenye group la watsap la strangers?
Siwezi huo ukuda! Ndio kama wale wanaopost status nina hamu na chips au nani yuko online anipigie video call😆 sasa hapo kama una buku 3 yako si Unajipigia freshy kabisa😃
 
Siwezi huo ukuda! Ndio kama wale wanaopost status nina hamu na chips au nani yuko online anipigie video call😆 sasa hapo kama una buku 3 yako si Unajipigia freshy kabisa😃
Huwa nashangaa mmama mtu mzimq mwenye miaka 30+ au mbaba wa miaka 50+ naye anaomba atumiwe bundle la buku ili tu aendelee kupoteza muda mitandaoni.
 
Huwa nashangaa mmama mtu mzimq mwenye miaka 30+ au mbaba wa miaka 50+ naye anaomba atumiwe bundle la buku ili tu aendelee kupoteza muda mitandaoni.
Watu wengine wanazeeka na upumbavu! Kwahiyo likishaisha hapo tena anaomba kwingine? Au ndio wajinga wajinga wakituma buku buku tayari😁
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom