Wakuu nimeibiwa

Wakuu nimeibiwa

Leo umeibiwa nakupa pole yako, lakini ukikuta sehemu wanampiga mwizi utahubutu kushiriki?

It's Scars
Nilishawahi kuona, lakini naingiwa na huruma sana, lakini akiingia kwenye angalau zangu panic ndo itanifanya nisione huruma kwa muda huo
 
...Ninaona kuwa kuna swali linaulizwa humu zaidi ya mara Nne na halipatu majibu la...Amekuibia shilingi ngapi??...au ameibia shs ndogo sana hata wee mwenyewe unaona udhia kuzitaja?
Kama ni hivyo, achana naye Usonge mbele na mambo yako mengine...Mungu atakujalia nyingine nyingi zaidi ya aliyokuibia!
Huwezi kujua, labda huko kwao mama yake amelazwa kwa kuanguka ghafla kwa stroke na hiyo hela uliyoibiwa ndio imeenda kumuokoa huyo mama na kwa namna moja ama nyingine ukawa umepata Baraka kwa kuokoa maisha ya mtu!...japo kwa kuibiwa !!!

Sent using Jamii Forums mobile app
KWA MCHAGA ANAWEZA AKAWA KAIBIWA LAKI MBILI ILA ATAIWEKA KAMA KAIBIWA MILIONI 20...HA HA HA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu leo moyo wangu wauma sana, nina kiofisi changu cha kidizaini tu hapa kitaa, sasa kuna binti tupo hapo anasimamia.

Sasa leo nimetoka mishe mishe mida ya mchana nakuta pamefungwa nikapiga namba haipatikani, basi nikamuuliza dada nyumbani vipi umeachiwa ufunguo, kasema upo nikaenda fungua.

Machale yakanicheza, nikasema embu nciheki hela kama ipo, duh hamna kitu.

Basi nikatoka kama upepo hadi anapokaa Dah Mungu wangu keshachukua begi lake kachapa lapa muda mrefu sana, yaani dah usiombe aisee yakutokee haya.

Hawa watu tunaowaweka kwenye biashara zetu tuwe makini sana, roho imeniuma lakini nimesimama kama chuma hadi watu wananishangaa.

Hapa chumbani huwa nalala na kipande cha nondo, akigusa mtu mlango amekwisha.
Huenda ulikuwa humlipi au alikuwa kigodoro wako akaamua kuwa sasa basi kama kumtumia umemtumia vya kutosha
 
Mkuu hii kweli kabisa, kuna mama lishe alipanga kwa jamaa mmoja akawa amemlipa kodi ya miezi 6... Kijiwe kikamchanganyia yule mama ile mbaya, na kiukweli mama anajitahidi na huduma nzuri, so wateja kibao. Mwenye nyumba akapandisha kodi ili mama ashindwe afanye yeye but mama kalipia kiroho safi. Mwisho wa mkataba jamaa akaona aje na gia ya kukarabati nyumba hivyo mama akaambiwa aondoke. Mama akahangaika weee bahati akapata jamaa amefungua gesti mpya akamuomba aje afungue pale tena free kwa miezi 3 ya mwanzo ili kuitangaza gesti yake. Mama akahamia pale na wajeta wake, pia akaanza kuuza na vinywaji na bia... Yaani baada ya miezi sita kile kijiwe kikawa very famous na biashara ya mama ikawa imeongezeka mara dufu. Jamaa akiyemfukuza alipoanza biashara pale haiku changanya na hakupata wasimamizi wazuri, so ndani ya miezi 2 biashara ikayumba na kufa.
Nimekupa hongera coz mtu akikurudisha hatua moja nyuma ya kimafanikio, Basi anakua amekufanya Upige hatua 10 mbele za kimafanikio! Kupitia kwake yeye atoae riziki!
Usivunjike moyo..Bible inasema
Mathayo
4 Heri wenye huzuni;Maana hao watafarijika.

So huyo mtu kaenda kukufungulia milango ya baraka, System ya maisha ni ya ajabu sana. Mtu anaweza kuona kakukomoa kumbe! Wee subbiri kuona outputs baada ya tukio hili. Utapata zaidi hata hiyo 1 aliyochukua hutaikumbuka.

Everything comes for reasons

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu leo moyo wangu wauma sana, nina kiofisi changu cha kidizaini tu hapa kitaa, sasa kuna binti tupo hapo anasimamia.

Sasa leo nimetoka mishe mishe mida ya mchana nakuta pamefungwa nikapiga namba haipatikani, basi nikamuuliza dada nyumbani vipi umeachiwa ufunguo, kasema upo nikaenda fungua.

Machale yakanicheza, nikasema embu nciheki hela kama ipo, duh hamna kitu.

Basi nikatoka kama upepo hadi anapokaa Dah Mungu wangu keshachukua begi lake kachapa lapa muda mrefu sana, yaani dah usiombe aisee yakutokee haya.

Hawa watu tunaowaweka kwenye biashara zetu tuwe makini sana, roho imeniuma lakini nimesimama kama chuma hadi watu wananishangaa.

Hapa chumbani huwa nalala na kipande cha nondo, akigusa mtu mlango amekwisha.
Kwa maelezo yako yalivyo huyo atakuwa mshirika waki wa ngono. Mmegombana kaamua kuondoka na kukukomoa kuondoka na pesa na vitu. Anaingiaje chumban kwako na kuchukua pesa
 
Achana naye, na wala usipoteze muda wako kuhangaika kumtafuta, kubali matokeo na move on na maisha yako, ichukulie kama somo kwako kwamba siku nyingine usimuachie mtu fedha kiasi kikubwa, mengineyo ni sehemu ya maisha tu,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom