Mnakaa chini mnaongea kiutu uzima mnayamalizaSasa mwizi akija nimwache avunje tu
Pole mkuu, weka picha yake hapa tukusidie kumsaka.Ni binti mdogo lakini mambo yake hakuna a nae amini, alikuwa anavuta hadi sigara
KWA MCHAGA ANAWEZA AKAWA KAIBIWA LAKI MBILI ILA ATAIWEKA KAMA KAIBIWA MILIONI 20...HA HA HA...Ninaona kuwa kuna swali linaulizwa humu zaidi ya mara Nne na halipatu majibu la...Amekuibia shilingi ngapi??...au ameibia shs ndogo sana hata wee mwenyewe unaona udhia kuzitaja?
Kama ni hivyo, achana naye Usonge mbele na mambo yako mengine...Mungu atakujalia nyingine nyingi zaidi ya aliyokuibia!
Huwezi kujua, labda huko kwao mama yake amelazwa kwa kuanguka ghafla kwa stroke na hiyo hela uliyoibiwa ndio imeenda kumuokoa huyo mama na kwa namna moja ama nyingine ukawa umepata Baraka kwa kuokoa maisha ya mtu!...japo kwa kuibiwa !!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hali ni mbaya
Huenda ulikuwa humlipi au alikuwa kigodoro wako akaamua kuwa sasa basi kama kumtumia umemtumia vya kutoshaWakuu leo moyo wangu wauma sana, nina kiofisi changu cha kidizaini tu hapa kitaa, sasa kuna binti tupo hapo anasimamia.
Sasa leo nimetoka mishe mishe mida ya mchana nakuta pamefungwa nikapiga namba haipatikani, basi nikamuuliza dada nyumbani vipi umeachiwa ufunguo, kasema upo nikaenda fungua.
Machale yakanicheza, nikasema embu nciheki hela kama ipo, duh hamna kitu.
Basi nikatoka kama upepo hadi anapokaa Dah Mungu wangu keshachukua begi lake kachapa lapa muda mrefu sana, yaani dah usiombe aisee yakutokee haya.
Hawa watu tunaowaweka kwenye biashara zetu tuwe makini sana, roho imeniuma lakini nimesimama kama chuma hadi watu wananishangaa.
Hapa chumbani huwa nalala na kipande cha nondo, akigusa mtu mlango amekwisha.
Nimekupa hongera coz mtu akikurudisha hatua moja nyuma ya kimafanikio, Basi anakua amekufanya Upige hatua 10 mbele za kimafanikio! Kupitia kwake yeye atoae riziki!
Usivunjike moyo..Bible inasema
Mathayo
4 Heri wenye huzuni;Maana hao watafarijika.
So huyo mtu kaenda kukufungulia milango ya baraka, System ya maisha ni ya ajabu sana. Mtu anaweza kuona kakukomoa kumbe! Wee subbiri kuona outputs baada ya tukio hili. Utapata zaidi hata hiyo 1 aliyochukua hutaikumbuka.
Everything comes for reasons
kumbe tabia zake ulizijua, ulikuwa na nafasi ya kumuepuka. poleNi binti mdogo lakini mambo yake hakuna a nae amini, alikuwa anavuta hadi sigara
chupi ya kazi gani mkuu
Kwa maelezo yako yalivyo huyo atakuwa mshirika waki wa ngono. Mmegombana kaamua kuondoka na kukukomoa kuondoka na pesa na vitu. Anaingiaje chumban kwako na kuchukua pesaWakuu leo moyo wangu wauma sana, nina kiofisi changu cha kidizaini tu hapa kitaa, sasa kuna binti tupo hapo anasimamia.
Sasa leo nimetoka mishe mishe mida ya mchana nakuta pamefungwa nikapiga namba haipatikani, basi nikamuuliza dada nyumbani vipi umeachiwa ufunguo, kasema upo nikaenda fungua.
Machale yakanicheza, nikasema embu nciheki hela kama ipo, duh hamna kitu.
Basi nikatoka kama upepo hadi anapokaa Dah Mungu wangu keshachukua begi lake kachapa lapa muda mrefu sana, yaani dah usiombe aisee yakutokee haya.
Hawa watu tunaowaweka kwenye biashara zetu tuwe makini sana, roho imeniuma lakini nimesimama kama chuma hadi watu wananishangaa.
Hapa chumbani huwa nalala na kipande cha nondo, akigusa mtu mlango amekwisha.
Ni binti mdogo lakini mambo yake hakuna a nae amini, alikuwa anavuta hadi sigara
Wee mjuba bhana sa utamuachiaje biashara mvuta bange?Ni binti mdogo lakini mambo yake hakuna a nae amini, alikuwa anavuta hadi sigara