Fanya tracking utampata, au kamata mzamini wake kama ulimuajiri maana yake alileta barua ya kuomba, ila kama umimchukua kimjinimjini mzee baba unakazi ngumuNimeibiwa hela tu, vingine vyote kaacha ila kanipa hasara sana
Fear not my dear..God got you Covered katika wakati huu unaoona ni mgumu! Japo kweli utapata shida kulipa yote hayo ila nina uhakika utavuka vikwazo. Na jua litang'aa kwakoNilikuwa natakiwa kulipa vitu vingi sana wiki hii ikiwemo pango la hapo, na bills nyingine
Kweli mkuu
Tracking ni gharama lakini ujue na inategemea aliondoka na shlngp upige mahesabu kama hiyo hela ya gharama za tracking ni ndogo kushinda hizo pesa maana anaweza pata hasara mara mbili 2.Fanya tracking utampata, au kamata mzamini wake kama ulimuajiri maana yake alileta barua ya kuomba, ila kama umimchukua kimjinimjini mzee baba unakazi ngumu
Kaondoka na Tsh ngapi?Tracking ni gharama lakini ujue na inategemea aliondoka na shlngp upige mahesabu kama hiyo hela ya gharama za tracking ni ndogo kushinda hizo pesa maana anaweza pata hasara mara mbili 2.