Wakuu nimeibiwa

Wakuu nimeibiwa

Kwani wewe sio rafiki yako? Wapi kasema anahitaji hela?mimi na bushmamy tunaelewena kivyetu vyetu!
Hapana Mimi sio rafiki yangu, hata kama hajasema lakini wewe hebu tumia akili katoka kuibiwa cash huyo,hvyo sio mbaya ukampa japo hata laki ikampooza machungu alipie bills ndogo ndogo za kwenye biashara yake hyo.

#wanawakempendane
 
Hapana Mimi sio rafiki yangu, hata kama hajasema lakini wewe hebu tumia akili katoka kuibiwa cash huyo,hvyo sio mbaya ukampa japo hata laki ikampooza machungu alipie bills ndogo ndogo za kwenye biashara yake hyo.

#wanawakempendane


Haya!
 
inuka endelea na safari usipoteze muda kumtafuta huyo mjinga unaweza poteza muda kumtafuta na ukabahatika kumpata mwisho akakataa katakata kuwa hajaiba na utoe uthibitisho kuwa ameiba.....

Dada wa kazi wa jamaa angu aliiba mil 6 akatokomea wakamtafuta sana na kumtrack juu mwisho wakampata... Akakataa katakata kuwa hakuiba akauliza uthibitisho uko wapi wakamuuliza kwann aliondoka sasa akasema alienda kwao hana sababu nyingine. up to today pesa haijarudi na jamaa aliamua kumuachia tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu leo moyo wangu wauma sana, nina kiofisi changu cha kidizaini tu hapa kitaa, sasa kuna binti tupo hapo anasimamia.

Sasa leo nimetoka mishe mishe mida ya mchana nakuta pamefungwa nikapiga namba haipatikani, basi nikamuuliza dada nyumbani vipi umeachiwa ufunguo, kasema upo nikaenda fungua.

Machale yakanicheza, nikasema embu nciheki hela kama ipo, duh hamna kitu.

Basi nikatoka kama upepo hadi anapokaa Dah Mungu wangu keshachukua begi lake kachapa lapa muda mrefu sana, yaani dah usiombe aisee yakutokee haya.

Hawa watu tunaowaweka kwenye biashara zetu tuwe makini sana, roho imeniuma lakini nimesimama kama chuma hadi watu wananishangaa.

Hapa chumbani huwa nalala na kipande cha nondo, akigusa mtu mlango amekwisha.
Huyo wahi kwa mtaalam tu azirudishe mwenyewe kabla mambo hayajaharibika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeibiwa kiasi gani?(hili swali mbona hujibu)Unasema kakutia hasara sana. Ina maana pesa za mahesabu kila siku ulikuwa unaziacha ofisini [huo ni uzembe].
Maana kama angeondoka na hesabu ya siku moja isingekuwa shoti kiasi hiko.

Achana nae usihangaike kumtafuta. Utapata tu hasara mara mbili. Huo muda inuka jipukute vumbi songa mbele kuna mema zaidi yako mbele.
 
Ulikosea kukaa naye kwenye biashara bila kumla!
Ungekuwa umemla isingekuuma sana!!
Pole mkuu..!
 
Mshahara wa dhambi mkuu ndo huo! Mapenzi kazini lazima yata react tu! Ila amejilipa kwa mbunye yake
Wakuu leo moyo wangu wauma sana, nina kiofisi changu cha kidizaini tu hapa kitaa, sasa kuna binti tupo hapo anasimamia.

Sasa leo nimetoka mishe mishe mida ya mchana nakuta pamefungwa nikapiga namba haipatikani, basi nikamuuliza dada nyumbani vipi umeachiwa ufunguo, kasema upo nikaenda fungua.

Machale yakanicheza, nikasema embu nciheki hela kama ipo, duh hamna kitu.

Basi nikatoka kama upepo hadi anapokaa Dah Mungu wangu keshachukua begi lake kachapa lapa muda mrefu sana, yaani dah usiombe aisee yakutokee haya.

Hawa watu tunaowaweka kwenye biashara zetu tuwe makini sana, roho imeniuma lakini nimesimama kama chuma hadi watu wananishangaa.

Hapa chumbani huwa nalala na kipande cha nondo, akigusa mtu mlango amekwisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
...Ninaona kuwa kuna swali linaulizwa humu zaidi ya mara Nne na halipatu majibu la...Amekuibia shilingi ngapi??...au ameibia shs ndogo sana hata wee mwenyewe unaona udhia kuzitaja?
Kama ni hivyo, achana naye Usonge mbele na mambo yako mengine...Mungu atakujalia nyingine nyingi zaidi ya aliyokuibia!
Huwezi kujua, labda huko kwao mama yake amelazwa kwa kuanguka ghafla kwa stroke na hiyo hela uliyoibiwa ndio imeenda kumuokoa huyo mama na kwa namna moja ama nyingine ukawa umepata Baraka kwa kuokoa maisha ya mtu!...japo kwa kuibiwa !!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mama yake akiugua, haimpi kibali cha kuiba pesa... the end does not justfy the means,,, good end cannot be sought with evil means

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole kwa masaibu hayo sister.

Nimependa ulivyohitimisha andiko lako.... nondo kwa kando!

Endelea kumuwinda huyo mduwanzi. Utamnasa tu. Pia waeza samehe na maisha yakaendelea.

-Kaveli-
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom