Vip kuhusu kumtafuna kimasiharaNi binti mdogo lakini mambo yake hakuna a nae amini, alikuwa anavuta hadi sigara
mm sijui ameibiwa shlngp? alieibiwa ndio aseme.Kaondoka na Tsh ngapi?
Mkuu pole kwa janga hilo, nakushauri ufokasi kutafuta solutions for paying the bills e.t.cWakuu leo moyo wangu wauma sana, nina kiofisi changu cha kidizaini tu hapa Kitaa, sasa kuna binti tupo hapo anasimamia.
Sasa leo nimetoka mishe mishe mida ya mchana nakuta pamefungwa nkapiga namba haipatikani, basi nkamuuliza dada nyumban vip umeachiwa ufunguo, kasema upo nkaenda fungua
Machale yakanicheza, nkasema embu ncheki hela kama ipoduh hamna kitu,
Basi nikatoka kama upepo hadi anapokaa Dah Mungu wangu keshachukua begi Lake kachapa lapa muda mrefu sana,
Yan Dah usiombe aisee yakutokee haya,
Hawa watu tunaowaweka kwenye biashara zetu tuwe makini sana, roho imeniuma lakini nimesimama kama chuma hadi watu wananishangaa
Hapa chumbani huwa nalala na kipande cha nondo, akigusa mtu mlango amekwisha
UnafAnya kazi na muhuni....ukiona demu anavuta fegi basi ujue hapo hasara bin hasara hakuna kinachompa hofu,Ila pole sana....jaribu kutafuta wafanyakazi kutoka pori hadi waje kujanjaruka ni muda mrefu ushatusua achana na wavuta fegi watoto wa mbwa!!Ni binti mdogo lakini mambo yake hakuna a nae amini, alikuwa anavuta hadi sigara
Sasa kama ulijua ni mhuni kwa nini ulimuajiri? Ni uwakala wa pesa?Ni binti mdogo lakini mambo yake hakuna a nae amini, alikuwa anavuta hadi sigara
Inakuaje akichukua laini inginee na akaishi maisha mengine.SAIKOLOJIA YA MWIZI WAKO KWA WAKATI HUU:
1.Ana hofu.
2.Anajua unamtafuta.
3.Anajuta.
ATAKACHOFANYA:
1.Atajificha kwenda mbali na kuzima mawasiliano yote.
2.Akihisi yuko salama ata relax. Atarudisha mawasiliano yake hewani (most likely kupitia simu yake na namba yake halali) kisha atarudi mahali pake halali anapoishi.
3.Atatumia mawasiliano yake kutaka kujua na kuhakikisha kuwa wewe sio tishio tena kwake.
Anzia hapo. Utamkamata kama kuku.
Alieniletea yupo na leo tulikuwa wote kwenye kumsaka
Hivi wezi wa kike nao hua wanachomwa moto au hii ni kwa wanaume tu!
Nilikuwa natakiwa kulipa vitu vingi sana wiki hii ikiwemo pango la hapo, na bills nyingine
Itoshe kujua kaibiwa, kujua kiasi mna mpango wa kumchangia?...Ninaona kuwa kuna swali linaulizwa humu zaidi ya mara Nne na halipatu majibu la...Amekuibia shilingi ngapi??...au ameibia shs ndogo sana hata wee mwenyewe unaona udhia kuzitaja?
Kama ni hivyo, achana naye Usonge mbele na mambo yako mengine...Mungu atakujalia nyingine nyingi zaidi ya aliyokuibia!
Huwezi kujua, labda huko kwao mama yake amelazwa kwa kuanguka ghafla kwa stroke na hiyo hela uliyoibiwa ndio imeenda kumuokoa huyo mama na kwa namna moja ama nyingine ukawa umepata Baraka kwa kuokoa maisha ya mtu!...japo kwa kuibiwa !!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeibiwa hela tu, vingine vyote kaacha ila kanipa hasara sana
Kwanini huwa mnaacha pesa nyingi dukani?Nilikuwa natakiwa kulipa vitu vingi sana wiki hii ikiwemo pango la hapo, na bills nyingine