Wakuu, nazeeka vibaya

Wakuu, nazeeka vibaya

Tatizo kampani ndo changamoto, wazee wengi wasomi au wastaafu wakishazeeka wanakuwa wapweke Sana utawaonea huruma, hata simu za kampani ni chache Sana, ni tofauti na wazee wa mitaani ambao kutwa Wana maisha Yao ya vijiweni waliyozoea, huu ni utafiti usio rasmi nimeufanya
 
Kwanini uliwaleta duniani? Kama wewe hukujengewa ni makosa ya wazazi wako
Wazazi wangu hawana makosa yoyote, kipato chao ni kwaajili yao ndio maana nimejenga maisha yangu kwa nguvu zangu. Sina wajibu wa kumjengea maisha mtoto, wajibu wangu ni kumsomesha tu.
 
Wazazi wangu hawana makosa yoyote, kipato chao ni kwaajili yao ndio maana nimejenga maisha yangu kwa nguvu zangu. Sina wajibu wa kumjengea maisha mtoto, wajibu wangu ni kumsomesha tu.
Hiyo kumsomesha ndio kumjengea kesho yake. Usingejali kesho yake basi hata usingemsomesha
 
1777568199787.png
 
Back
Top Bottom