Wakuu naombeni mniombee sana

Wakuu naombeni mniombee sana

Wadada jamani kweli ndoa zimekuwa ngumu sikuhizi but msijidhalilishe kisa ndoa jamani, sasa wanaume wenyewe ndo kama hvi alafu huyu sio wa kwanza kuja humu na kuanza kuongea mbovu kuhusu mdada aliekutana nae au aliechat nae huko pm, hakuna mume humu kuna wadhalilishaji tu, we angalia hata mada zao kuhusu wanawake, kila siku ni kukashifu wanawake, alafu bado mtu wa hivyo anakuja huko pm na wewe unajiachia tu

Labda wewe haujakwama...wenzio wana hali mbaya ndiyo maana nawagongaga sana mademu wa humu
 
95% mademu wa humu huwa wamepinda ...yaani unawagonga ili kufidia gharama....kwa hiyo huyo wa kwako tupe mrejesho mkuu
 
Nenda utamjulia hukohuko lodge...
Ila huyo dem atakuwa local tu hakujui na nyavu tayar...aisee
 
Umri wako tafadhal,maana hoja yako inachanganya.
Unataka magimbi ili ukazini???
Maombi kwa Mungu ,Mizimu au Jehovah.
Whatever the case.geuka Rudi nyuma .unakoenda siko
Wakuu leo nina appointment au ahadi ya kuonana na mdada nisiyemfahu ila tulikuwa tunachat PM tu kuanzia week iliyopita. Tukatongoza tukaelewana wenyewe.

Sasa leo saa kumi na moja jioni ndiyo tumepanga kuonana lodge fulani hapa Magomeni.

Sasa sijui yupoje? Sijui ni kituko kama vituko vingine vya hapa mjini?
Sijui ni mzuri na mrembo kama anavyosema yeye mwenyewe au ndiyo yaleyale maajabu ya dunia.

Mmmh hata Sijui naenda kukutana na kiumbe cha aina gani. Hii mingine ni mitihani tu. Wakuu niombeeni nimkute anafanania na yule ambaye yupo kwenye fikra yangu.
 
Siyo wote bana...

Kuna watu wamekutana humu, mapenzi ya kweli yakachipua mpaka wakafunga ndoa...

Ukisema wanaume wote wa humu ni Mafurushi unakosea sana. Kama binti unajitambua, hauko desperate na una misimamo yako, uta-attract wanaume wa kufaa sana ambao wamejaa humu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mafurushi tu.

Halafu ujue ume-mention mafurushi ila nashangaa ni mimi nimepata notification ya mention, how do you do that?
 
Wakuu leo nina appointment au ahadi ya kuonana na mdada nisiyemfahu ila tulikuwa tunachat PM tu kuanzia week iliyopita. Tukatongoza tukaelewana wenyewe.

Sasa leo saa kumi na moja jioni ndiyo tumepanga kuonana lodge fulani hapa Magomeni.

Sasa sijui yupoje? Sijui ni kituko kama vituko vingine vya hapa mjini?
Sijui ni mzuri na mrembo kama anavyosema yeye mwenyewe au ndiyo yaleyale maajabu ya dunia.

Mmmh hata Sijui naenda kukutana na kiumbe cha aina gani. Hii mingine ni mitihani tu. Wakuu niombeeni nimkute anafanania na yule ambaye yupo kwenye fikra yangu.
Ukisikia uwongo wa kiwango cha lami ndio huu yaani mmetongozana pm huko huyo mdada yupo humuhumu halafu mwanaume rijali kabisaaa unakuja leta uzi huku kuomba rehema wallah kama mimi ndio huyo mwanamke unakula ban ya maisha manake kipimo cha kwanza unaonekana kabisa uko na shida pahala fulani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom