Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 52,042
- 126,057
Kwa kushindwa kujua ipi pumba na upi ni mchele.Kwnn shadeeya
Kwa kushindwa kujua ipi pumba na upi ni mchele.Kwnn shadeeya
Hakikisha basi dau alipandi sana wala kushuka sana, as we know kituko ataondoka na 7800 Tsh na kama ni mrembo ataondoka na 8800 Tsh.Wakuu leo nina appointment au ahadi ya kuonana na mdada nisiyemfahu ila tulikuwa tunachat PM tu kuanzia week iliyopita. Tukatongoza tukaelewana wenyewe.
Sasa leo saa kumi na moja jioni ndiyo tumepanga kuonana lodge fulani hapa Magomeni.
Sasa sijui yupoje? Sijui ni kituko kama vituko vingine vya hapa mjini?
Sijui ni mzuri na mrembo kama anavyosema yeye mwenyewe au ndiyo yaleyale maajabu ya dunia.
Mmmh hata Sijui naenda kukutana na kiumbe cha aina gani. Hii mingine ni mitihani tu. Wakuu niombeeni nimkute anafanania na yule ambaye yupo kwenye fikra yangu.
Hakuna anayeenda kuonana nae huyu, anafurahisha genge tu hapaMtu hamjaonana umeshaanza kutangaza.
Hata wanaojibu pm zako huko pm ni wajinga kabisa kama wewe.
Itakuwa kaona ule uzi wa 7800 ulipata sana wadau basi anajua na huu watu watakesha wakisubiria Updates. Teh teh.Hakuna anayeenda kuonana nae huyu, anafurahisha genge tu hapa
Siyo wote bana...Wadada jamani kweli ndoa zimekuwa ngumu sikuhizi but msijidhalilishe kisa ndoa jamani, sasa wanaume wenyewe ndo kama hvi alafu huyu sio wa kwanza kuja humu na kuanza kuongea mbovu kuhusu mdada aliekutana nae au aliechat nae huko pm, hakuna wamume humu kuna wadhalilishaji tu, we angalia hata mada zao kuhusu wanawake, kila siku ni kukashifu wanawake, alafu bado mtu wa hivyo anakuja huko pm na wewe unajiachia tu
Ndio nimeshangaa huyo mjinga mwenye huruma anayeenda kukutana na huyu lofa ni nani.Hakuna anayeenda kuonana nae huyu, anafurahisha genge tu hapa
Umewaza vema.Itakuwa kaona ule uzi wa 7800 ulipata sana wadau basi anajua na huu watu watakesha wakisubiria Updates. Teh teh.
Piga tu punyeto utakuwa umeenda sawa na aliye kwenye fikra zakoWakuu leo nina appointment au ahadi ya kuonana na mdada nisiyemfahu ila tulikuwa tunachat PM tu kuanzia week iliyopita. Tukatongoza tukaelewana wenyewe.
Sasa leo saa kumi na moja jioni ndiyo tumepanga kuonana lodge fulani hapa Magomeni.
Sasa sijui yupoje? Sijui ni kituko kama vituko vingine vya hapa mjini?
Sijui ni mzuri na mrembo kama anavyosema yeye mwenyewe au ndiyo yaleyale maajabu ya dunia.
Mmmh hata Sijui naenda kukutana na kiumbe cha aina gani. Hii mingine ni mitihani tu. Wakuu niombeeni nimkute anafanania na yule ambaye yupo kwenye fikra yangu.
Kwamba hamkutumiana pichaWakuu leo nina appointment au ahadi ya kuonana na mdada nisiyemfahu ila tulikuwa tunachat PM tu kuanzia week iliyopita. Tukatongoza tukaelewana wenyewe.
Sasa leo saa kumi na moja jioni ndiyo tumepanga kuonana lodge fulani hapa Magomeni.
Sasa sijui yupoje? Sijui ni kituko kama vituko vingine vya hapa mjini?
Sijui ni mzuri na mrembo kama anavyosema yeye mwenyewe au ndiyo yaleyale maajabu ya dunia.
Mmmh hata Sijui naenda kukutana na kiumbe cha aina gani. Hii mingine ni mitihani tu. Wakuu niombeeni nimkute anafanania na yule ambaye yupo kwenye fikra yangu.
Unadhani kuna watu humu wanajuaga sana kucheza na akili za watu.Umewaza vyema.
Kiki ya kijinga kudhalilisha tuu wanawake na story zake fake.
Hapo ameshaandaa story ya kuja kuandika. Na anaenda kukutana na id ambayo ni fekero lake.
Haka kapovu kananipa wasiwasi sana maana sio bureUnadhani kuna watu humu wanajuaga sana kucheza na akili za watu.
Ila hapa ndio pakujifunza kwamba hata wenye Id za muda kidogo wapo pia wasiojielewa mana niliwahi ona sehemu mtu anasema Id kongwe tu ndio ntajibu PM zao nikasema Lol.
Kikubwa ujumbe umefika. Na huo wasiwasi wako ndio akili Mkuu.Haka kapovu kananipa wasiwasi sana maana sio bure
Wengine tutakuwa tukiwatoa humu kwa upumbavu mlokuwa nao! Hayo ni ya kutuambia siye? Si ni suala la kuwakusanya ndugu zako na kuwaeleza hayo na ukasikia wanachokwambia.Wakuu leo nina appointment au ahadi ya kuonana na mdada nisiyemfahu ila tulikuwa tunachat PM tu kuanzia week iliyopita. Tukatongoza tukaelewana wenyewe.
Sasa leo saa kumi na moja jioni ndiyo tumepanga kuonana lodge fulani hapa Magomeni.
Sasa sijui yupoje? Sijui ni kituko kama vituko vingine vya hapa mjini?
Sijui ni mzuri na mrembo kama anavyosema yeye mwenyewe au ndiyo yaleyale maajabu ya dunia.
Mmmh hata Sijui naenda kukutana na kiumbe cha aina gani. Hii mingine ni mitihani tu. Wakuu niombeeni nimkute anafanania na yule ambaye yupo kwenye fikra yangu.