Hazingui coz kuna tuhuma nyingi tu hajakamatwa. Mtu kutokamatwa haina maana yuko safi. Akina chenge, Lowasa na mafisadi wengine wamekamatwa?Waliotaka kumtia sumu zito walikamatwa?Waliotaka kumteka Meya Boniface walikamatwa?Waliomuua Chacha wangwe walikamatwa?Waliomtesa Msaidizi wa Slaa walikamatwa?So swala la kukamatwa au kutokamatwa kwa mshukiwa yyt Yule haina maana hausiki.Huyo anazingua tu
Wataacha vipi kupata heart attack kwa damu za watu,wanauwa usiku Mungu anawaumbua mchana huu msalaba wanao hadi watakapoondoka duniani, bado kuropoka tu.MTU akikuchallenge mchallenge,kelele za mlango zinakunyima vipi usingizi hali wwe baba mwenye nyumba. Ben,Azori nk walipotea mwanzoni mwanzoni kabla watu awajaanza kupiga kelele, bila kelele kina Nondo,MO,Roma,mdude chadema,Ney wa mitego,Rafael ongang,msaidizi wa Membe,Kumbuka Dawson,Masudi Kipanya, list ni wengi hawa kwa uchache wasingekuwapo.Hoja ujibiwa kwa hoja.Wasiojulikana ni DOA kubwa sana la awamu hii wana nguvu kuliko dola imeshindwa kuwadhibiti.Ben Saanane sio Mbowe,bali ni yule aliyekuwa anahojiwa PhD yake ya kubangua maganda ya korosho aliipataje wakati paper yake ipo sawa na ya msimamizi wake?
Hiki ndio kimempoteza Ben,bahati mbaya Ben amepotea mwanzoni mwanzoni mwa utamaduni wa watu kupotezwa ndio unaanza anza.Watu wana roho mbaya sana,ndio maana wanakosa amani ya moyo,kutwa kucha kupanic na kukurupuka.Huwezi kuwa salama juu ya damu ya watu na maumivu ya familia zao.
Wewe umeugua tu kidogo,watu wakaunganishia na kifo,unaanza kusema "utu,utu,utu".Utu haujengwi kwa namna hiyo,utu na upendo ni matokeo ya kuheshimu uhai wa tajiri na masikini,kila mwanadamu ana thamani ya damu yake,mwanadamu mwenzie anapoitoa damu hiyo,ataweweseka yeye na vizazi vyake.Thamani ya utu haina mbadala sio madaraka wala amani ya nchi...Ndio maana hata leo ukimuuwa kichaa au chizi,lazima uwajibike,maana hatutaangalia ukichaa wao,nali utu wao.
Usiku wa manane,ndege aina ya CRJ,mali ya nchi moja ya maziwa makuu,kwa kutumia magari meusi,ilibadilishana "wafungwa wa kuteswa" sababu ya kuupinga uongozi wa watawala wa pande zote mbili.
Ni bahati mbaya watu hudhani damu ya mtu ni halali yao,kabla ya mawio na machweo,damu ya mtu huyu itakuwa imepiga kelele na kutoa kilio...haitawaacha watu salama!
Pole sana kwa familiabya Ben,mwanae wa kike ndugu,jamaa na marafiki.
Kwani waliopanga kumteka Meya Boniface walikamatwa?Waliotaka kumtia sumu zito walikamatwa?Waliompoteza Chacha wangwe walikamatwa?Au nawe unajipendekeza kwa Mbowe na genge lake?Una maana Serikali na vyombo vyake vyoooooote inamuogopa huyo Mbowe? Mnajipendekeza hadi mnapitiliza kiasi cha kuidhalilisha Serikali.
Kwahiyo mkuu unataka kusikia yale yanayokufurahisha tu?Haya maneno ndio yalichangia jumamosi na jumapili iliyopita nchi nzima ilikuwa katika hali fulani ya furaha kusubiri tangazo.
Kadri siku zinavyokwenda laki si pesa naoa ndivyo akili yako inavyolala doroBen Saanane inajulikana ni mpango wa Mbowe kumpoteza, haiwezekani eti msaidizi wako unaefanya nae kazi ofisi moja anapotea halafu wewe unaendelea na kazi zako kama kawaida hata kumtafuta hutaki, Mbowe Mungu anakuona mrudishe Ben Saanane wetu,
Kwahiyo mkuu unataka kusikia yale yanayokufurahisha tu?
Najua mazuri na mnayoyataka hapa ni kuponda jiwe. Mnataka uhuru wa kujieleza lkn hamtaki kusikia yasiyowafurahisha, mnaakili kweli nyie?Acha kutuchafulia uzi nenda kwenye majukwaa yako kule Facebook.
Na vilevile kuna kakundi kameibuka wao ni kupinga kila kitu na kuzua mambo ya ajabu ajabu kila wakati. Kumbuka hili pia.Kimsingi kumekuwa na kundi kubwa ambalo ni kama limeshakuwa brainwash kusifia tu mapigo ya number 1.Yaani kwao yule ni zaidi ya Mungu eti hakosei.
Watanzania wanaugua mno kwa yanayoendelea ndio maana wanaombea mabaya yazidi kuwakumba waasisi wa huu ukwapuaji wa haki za wa tz ulionza awamu hii.
Wakati mwingine hua una hoja . Wapatikane wana ccm wenye maono na ujasiri wa kutamka mambo haya. Tutakuwa na Tz iliyoitangulia paradiso kwa wote.Wakuu Habari
Nimepitia bandiko la jana la Bwana na kaka yangu Pascal Mayalla kuhusu ukosoaji na usifiaji lakin kwa jinsi alivyozishusha nondo ukiwa unasoma unasisimkwa mwili,
Niliwahi kumshauri hata Huyo bwana Msiba juu ya ulichosema
Musiba Cyprian kwa njia hii haumtetei Rais ila unamuaibisha, na kuwadhalilisha wanaomtetea kwa hoja
Huyu Musiba ni vema amtetee rais ila sasa hajui kupanga hoja zake vema na kutoa mifano hata kama ya uongo ila angalau iendane endane na ukweli, watu wana akili zao siyo chekechea, Nimemsikia kwenye chanel yake fulani akisema yafuatayo 1.Jamiiforums ni mtandao wa kumtukana rais saa moja hadi...www.jamiiforums.com
siku hizi mi ni mzembe wa kuandika, lakin ngoja niandike tu haijarishi Kama kweli uzi utafutwa au utahaririwa na Mods,
Kuna Kipengele umesema wanaokosoa wanakuwa vichaa kudhani kila movement mbaya dhid ya wapinzani inafanywa na serikali, lakin inaonesha kwamba wachambuzi Kama ninyi mnakaa kimya Sana mnachambua mambo kwa uoga sana hadi inasikitisha sana kuona hata baadhi ya Ukweli mdogo mdogo mnaogopa kuchambua,
Taifa lilivyo kwa sasa tusifichane linahitaji kiongozi mwenye kujenga upendo na umoja wa kitaifa mwaka 2025
Niliyasema kwenye Uzi huu hapa Kuwa sawa Magufuli anafanya makubwa kama ujenzi wa miundo mbinu, lakin Mioyo mbinu haiko powaa
After 2025 we need moral and spiritual awakening for the country to recover from Magufuli’s presidency
The only thing that can cast out hate is love among Tanzanians, Magufuli being tyranny direct means CCM's tyrannos might prevail if we don't be careful We remember that CCM made mistakes and vanquished CCM Asilia’s attempted counterrevolution within . The Unknown People regime is notorious...www.jamiiforums.com
Tunategemea mlete nyuzi basi za kuondoa sintofahamu juu ya kupotea kwa Ben saanane na Azory gwanda,
Kupigwa Risasi Kwa Tundu lissu,
Maana ukosoaji unaosaidia taifa ni Kama nilioandika Kwa Uzi huu chini mpaka nikaanza kuambiwa nahujumu maendeleo ya Taifa ,yaan ukitoa ushauri chanya utaambulia matusi na kutangazwa adui wa Taifa wa Kimya kimya, Kuna kundi la WhatsApp la watu nyeti la kujadili jinsi ya kuwakamata wanaokosoa
Nakataa Tanzania haiwezi kuwa Nchi ya Uchumi wa Kati ifikapo 2025
Habari zenu wakuu , Nchi yetu imekuwa ni ya mipango ya muda mrefu bila ukamilishaji kwa muda , na kupanga bila kuangalia mbele, Ninaangalia nchi nyingi duniani huwa na mipango endelevu amnbayo uongozi urithishana na kama ajenda ya taifa, nina mifano ya mataifa yafuatayo ambayo miaka ya nyuma...www.jamiiforums.com
Sina shaka kabisa na uchambuzi wenu ambao unaonesha hamna upande ,ila kuweza kuwashawish watanzania kuwa upande fulani haukuhusika kwenye matukio mazito kama hayo?
Ninyi ni wachambuzi na waandishi wa habari, mtazipata wapi nobble prizes, au mtajivunia kwamba mlilisaidia taifa?
Haki ya Mungu msipoandika, mkanyamaza, wapinzani wasiposema wakaogopa, wasemaji wa haki za Binadamu wasiposema BASI MUNGU ATATENDA
NB Mimi ni Mwana CCM ambaye nimepata kadi kwa kuisomea siyo ya kuokota kwenye mikutano ya hadharaNashangaa hao waliopewa kadi kwenye mikutano ya adhara kama kina Asenga waliwahi kunisumbua sana kwa uzi huu
Rais Magufulli hawazii tena kuleta maendeleo ya Nchi ya Tanzania
Akiwa Waziri katika awamu mbali mbali alikuwa ni mwana CCM na waziri anayefanya kazi na utendaji wake ulikuwa juu kuliko mtanzania yeyote aliyekuwa katika uongozi au sekta yeyote ile ya serikali, Utendaji wake ulikuwa mkubwa kuliko hata madaraka aliyo nayo, maono yake yaliona mbali kuvuka mipaka...www.jamiiforums.com
Britanicca
Wakuu Habari
NB Mimi ni Mwana CCM ambaye nimepata kadi kwa kuisomea siyo ya kuokota kwenye mikutano ya hadharaNashangaa hao waliopewa kadi kwenye mikutano ya adhara kama kina Asenga waliwahi kunisumbua sana kwa uzi huu
Rais Magufulli hawazii tena kuleta maendeleo ya Nchi ya Tanzania
Akiwa Waziri katika awamu mbali mbali alikuwa ni mwana CCM na waziri anayefanya kazi na utendaji wake ulikuwa juu kuliko mtanzania yeyote aliyekuwa katika uongozi au sekta yeyote ile ya serikali, Utendaji wake ulikuwa mkubwa kuliko hata madaraka aliyo nayo, maono yake yaliona mbali kuvuka mipaka...www.jamiiforums.com
Britanicca
Kab is aBen Saanane sio Mbowe,bali ni yule aliyekuwa anahojiwa PhD yake ya kubangua maganda ya korosho aliipataje wakati paper yake ipo sawa na ya msimamizi wake?
Hiki ndio kimempoteza Ben,bahati mbaya Ben amepotea mwanzoni mwanzoni mwa utamaduni wa watu kupotezwa ndio unaanza anza.Watu wana roho mbaya sana,ndio maana wanakosa amani ya moyo,kutwa kucha kupanic na kukurupuka.Huwezi kuwa salama juu ya damu ya watu na maumivu ya familia zao.
Wewe umeugua tu kidogo,watu wakaunganishia na kifo,unaanza kusema "utu,utu,utu".Utu haujengwi kwa namna hiyo,utu na upendo ni matokeo ya kuheshimu uhai wa tajiri na masikini,kila mwanadamu ana thamani ya damu yake,mwanadamu mwenzie anapoitoa damu hiyo,ataweweseka yeye na vizazi vyake.Thamani ya utu haina mbadala sio madaraka wala amani ya nchi...Ndio maana hata leo ukimuuwa kichaa au chizi,lazima uwajibike,maana hatutaangalia ukichaa wao,nali utu wao.
Usiku wa manane,ndege aina ya CRJ,mali ya nchi moja ya maziwa makuu,kwa kutumia magari meusi,ilibadilishana "wafungwa wa kuteswa" sababu ya kuupinga uongozi wa watawala wa pande zote mbili.
Ni bahati mbaya watu hudhani damu ya mtu ni halali yao,kabla ya mawio na machweo,damu ya mtu huyu itakuwa imepiga kelele na kutoa kilio...haitawaacha watu salama!
Pole sana kwa familiabya Ben,mwanae wa kike ndugu,jamaa na marafiki.
ExactlyMKuu kwani Malaika Mkuu naye si aliokotwa tu na kupoewa Ubunge au na yeye alipita magogoni pale ?
Una maana Serikali na vyombo vyake vyoooooote inamuogopa huyo Mbowe? Mnajipendekeza hadi mnapitiliza kiasi cha kuidhalilisha Serikali.
Nimewaquote wawili kwa kutaka kumuuliza huyu MISULI. Sawa hawakukamatwa, ni kwanini hasa kwa vyombo vya dola vilivyo neutral na visivyofuata maagizo kutoka sehemu ?!.Hazingui coz kuna tuhuma nyingi tu hajakamatwa. Mtu kutokamatwa haina maana yuko safi. Akina chenge, Lowasa na mafisadi wengine wamekamatwa?Waliotaka kumtia sumu zito walikamatwa?Waliotaka kumteka Meya Boniface walikamatwa?Waliomuua Chacha wangwe walikamatwa?Waliomtesa Msaidizi wa Slaa walikamatwa?So swala la kukamatwa au kutokamatwa kwa mshukiwa yyt Yule haina maana hausiki.
Ndo maana nikasema tukiwa na hoja za namna hii tutaweza sana kujua mengiHoja hii ni nzito maana imeongeza udadisi wa nini hasa kilitokea? Habari ya ndege na "kubadilishana wafungwa" imeongeza Giza ingawa pengine ndio kunakucha.
Tusaidiane tuu kuweka wazi uhalifu wowote dhidi ya binadamu walao faraja itapatikana
...nasikia Ccm wana hisa VodacomKuhusu Ben.
Waulize Vodacom Tanzania watakuwa na Majibu