Wakuu kuna member humu kawa adimu! Yu wapi?

Wakuu kuna member humu kawa adimu! Yu wapi?

Wa kuitwa Tumia akili kapotelea wapi!? au alitandikwa ya kwenye masaburi wakati wa maandamano? Mbona utabiri wake umeenda alijojo? naambiwa jamaa uko alipo haamini kabisa kilichotokea, tofauti na mikwala yake, wajanja wamepindua meza!
mambo ya elimu ya faraqi
Nipo hapa mkuu kwamba ulikuwa hujui muda wooote huuu😂
 
Wa kuitwa Tumia akili kapotelea wapi!? au alitandikwa ya kwenye masaburi wakati wa maandamano? Mbona utabiri wake umeenda alijojo? naambiwa jamaa uko alipo haamini kabisa kilichotokea, tofauti na mikwala yake, wajanja wamepindua meza!
mambo ya elimu ya faraqi
Ndio umekuja kwa style hiyo?
 
Mwamba Tumia Akili alikuwa anaposti nyuzi za kuvutia sana sema katupotea ghafla
 
Amani ni tunu yetu basi tuilinde kwa wivu mkubwa sana

epuka mambo yote ambayo yatakusababishia matatizo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom