Wakuu hivi naweza kununua eneo la 30 msq?

Red Giant

JF-Expert Member
Mar 9, 2012
15,658
20,889
Yaani eneo liwe na upana wa mita tano na urefu wa mita sita. Inawezekana? Kuna limit ya ukubwa wa eneo analoweza miliki mtu?
 
Naonaga Matangazo ya viwanja utasikia Square meter 1 bei elfu 12. Sasa sijui wana minimum number au ata ukitaka izo square metres ulizotaja.
 
Back
Top Bottom