Tafuta pesa wewe acha uvivuYaani eneo liwe na upana wa mita tano na urefu wa mita sita. Inawezekana? Kuna limit ya ukubwa wa eneo analoweza miliki mtu?
Inategemea unanunua wapi? Kuna sehemu zinafuata taratibu za mipango miji na kamwe hilo jambo haliwezi kuruhusiwaYaani eneo liwe na upana wa mita tano na urefu wa mita sita. Inawezekana? Kuna limit ya ukubwa wa eneo analoweza miliki mtu?
Wanyonge at workNiweke frame ya business.