Serikali badilisheni pori tengefu la Kibaha liwe eneo la makazi!

Charliemic

JF-Expert Member
Feb 17, 2019
585
919
Naomba kuishauri serikali kupitia wizara ya Ardhi kuangalia uwezekano kubatilisha matumizi ya pori tengefu lililopo Kibaha mkoa wa pwani liwe eneo la makazi ya watu na matumizi mengineyo! Eneo hili lilihodhiwa na shirika la Elimu Kibaha ambapo kwa sasa shirika hilo limefutwa!

Pori hili likibatilishwa matumizi litapelekea kukua kwa mji wa Kibaha ambapo itasaidia kupunguza msongamano uliopo Dar es salaam
 
Naomba kuishauri serikali kupitia wizara ya Ardhi kuangalia uwezekano kubatilisha matumizi ya pori tengefu lililopo Kibaha mkoa wa pwani liwe eneo la makazi ya watu na matumizi mengineyo! Eneo hili lilihodhiwa na shirika la Elimu Kibaha ambapo kwa sasa shirika hilo limefutwa!

Pori hili likibatilishwa matumizi litapelekea kukua kwa mji wa Kibaha ambapo itasaidia kupunguza msongamano uliopo Dar es salaam
Lina ukubwa gani ?? Tupate viwanja hapo.....
 
Huwa najiuliza walio pita wangekuwa na tamaa za fisi kama hizi tungekuwa wapi.. ushauri wangu eneo la kibaha na eneo linalomilikiwa na chuo cha kilimo uyole mbeya yabaki hata miaka 100 mbele hivyo hivyo ndio wagawe maana kizazi hicho watakuwa na shida kuliko sisi
 
Naomba kuishauri serikali kupitia wizara ya Ardhi kuangalia uwezekano kubatilisha matumizi ya pori tengefu lililopo Kibaha mkoa wa pwani liwe eneo la makazi ya watu na matumizi mengineyo! Eneo hili lilihodhiwa na shirika la Elimu Kibaha ambapo kwa sasa shirika hilo limefutwa!

Pori hili likibatilishwa matumizi litapelekea kukua kwa mji wa Kibaha ambapo itasaidia kupunguza msongamano uliopo Dar es salaam
Tanzania ardhi ni kubwa siyo mng'ang'anie hapo karibu na Dsm. Kwanini usiende kujenga kwenu? Hilo pori ndio mapafu ya hiyo miji. Hujui umuhimu wa misitu mpaka leo? We mshamba kwenu wapi.
 
Huwa najiuliza walio pita wangekuwa na tamaa za fisi kama hizi tungekuwa wapi.. ushauri wangu eneo la kibaha na eneo linalomilikiwa na chuo cha kilimo uyole mbeya yabaki hata miaka 100 mbele hivyo hivyo ndio wagawe maana kizazi hicho watakuwa na shida kuliko sisi
Maeneo ya wazo yabaki mfano sahivi dsm hakuna maeneo ya wazi kwa ajili ya mwanachi wa kawaida kwenda kupumzika tukitoa kila eneo itakua nchi ya hovyo sana
 
Ndo mleta uzi anavyotaka
Nchi hii inaviongozi warafi sana ukiona panafuka moshi ujue pana moto. Siku wakianzisha hii hoja walala hoi wengi watawatetea wakitumaini kuwa watapewa wao kumbe watapewa vigogo. Nikuombe huu ujinga ukianzishwa tuu nitapinga na uniunge mkono
 
Naomba kuishauri serikali kupitia wizara ya Ardhi kuangalia uwezekano kubatilisha matumizi ya pori tengefu lililopo Kibaha mkoa wa pwani liwe eneo la makazi ya watu na matumizi mengineyo! Eneo hili lilihodhiwa na shirika la Elimu Kibaha ambapo kwa sasa shirika hilo limefutwa!

Pori hili likibatilishwa matumizi litapelekea kukua kwa mji wa Kibaha ambapo itasaidia kupunguza msongamano uliopo Dar es salaam
Hivi shirika la elimu kibaha limefutwa?
 
Naomba kuishauri serikali kupitia wizara ya Ardhi kuangalia uwezekano kubatilisha matumizi ya pori tengefu lililopo Kibaha mkoa wa pwani liwe eneo la makazi ya watu na matumizi mengineyo! Eneo hili lilihodhiwa na shirika la Elimu Kibaha ambapo kwa sasa shirika hilo limefutwa!

Pori hili likibatilishwa matumizi litapelekea kukua kwa mji wa Kibaha ambapo itasaidia kupunguza msongamano uliopo Dar es salaam
Mnapenda miji isiyo na free zones kwa ajili ya ku absorb cabondioxed na ku produce Oxygen?
 
Back
Top Bottom