Charliemic
JF-Expert Member
- Feb 17, 2019
- 585
- 919
Naomba kuishauri serikali kupitia wizara ya Ardhi kuangalia uwezekano kubatilisha matumizi ya pori tengefu lililopo Kibaha mkoa wa pwani liwe eneo la makazi ya watu na matumizi mengineyo! Eneo hili lilihodhiwa na shirika la Elimu Kibaha ambapo kwa sasa shirika hilo limefutwa!
Pori hili likibatilishwa matumizi litapelekea kukua kwa mji wa Kibaha ambapo itasaidia kupunguza msongamano uliopo Dar es salaam
Pori hili likibatilishwa matumizi litapelekea kukua kwa mji wa Kibaha ambapo itasaidia kupunguza msongamano uliopo Dar es salaam