Thebroker
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 2,569
- 4,383
Hapana, uwezo wa kifedha ndo unawaweka hapoWakuu hivi Crown ni gari ya ndoto za vijana wengi Bongo? Tupia maoni yako hapo?
Hapana, uwezo wa kifedha ndo unawaweka hapoWakuu hivi Crown ni gari ya ndoto za vijana wengi Bongo? Tupia maoni yako hapo?
Mkuu hapa tuko pamoja. Hii kitu naielewa vibaya mnoNikipata hela Navuta Suzuki jimmy new model
Aminia tupambana TuMkuu hapa tuko pamoja. Hii kitu naielewa vibaya mno
Wakuu hivi Crown ni gari ya ndoto za vijana wengi Bongo? Tupia maoni yako hapo?
Umo sahihi mkuu, ukiwa na crown Kwanza u feel proud barabarani, unavimba na hata watu hugeuka kukuangalia ni mtu wa aina gn uliyeweza kununua athlete crown, it's a most youth's dream kwa anayejua gari, unapata speed, comfortability, enjoyment na hata moyo husuuzika kujisikia upo kweny crown.Wakuu hivi Crown ni gari ya ndoto za vijana wengi Bongo? Tupia maoni yako hapo?
Muongo!, ukitoa ist gari inayofuata kwa kuuzika haraka ni crown, fanya research kwa car dealers watakwambia, usipotoshe watu mkuu
Mimi Carina ti,
Old is Gold.
Mpaka leo naona Mark 2 imesimama sana hasa jamii ya Chaser na 110Crown ni trend tu kama trend nyingine.. Kama tu Enzi za Balloon, Mark II Grande, Altezza, Brevis, Mark X etc
Polo GTI 💥💥💥Volkwagen aise acha tu
Mimi gari ya ndoto yangu ni Volvo S60 Mungu anipe uhai tuPolo GTI 💥💥💥