Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
Umesahau kuandika namba ya simu.Wajinga hawa wapewe kesi ya uhujumu Uchumi. Mungu ambariki Magufuli. Viva baba kwene hili umenikoshaa.
Umesahau kuandika namba ya simu.Wajinga hawa wapewe kesi ya uhujumu Uchumi. Mungu ambariki Magufuli. Viva baba kwene hili umenikoshaa.
Sasa si ndo biashara?,mfano mwaka huu watu wamestock mpunga kisha baadae kuuza kwa bei juu,
Kwa kuwa mtu ni mfanyabiashara basi awe huru kuvunja sheria za nchi?!!!!Polisi jijini Dsm imewakamata wakurugenzi wakuu wa kampuni za mafuta za Puma, Total na Oryx waliokuwa kwenye kikao cha kibiashara.
Kadhalika polisi wanamsaka mkurugenzi mkuu wa Lake Oil ili aunganishwe na wenzake.
Imeelezwa wakurugenzi hao wanadaiwa kuvuruga mfumo wa usambazaji mafuta nchini.
Chanzo: ITV habari!
Vipi bei ya sukariSerikali
Ndiyo Ina Nguvu, Haitamvumilia Yoyote Anayetaka Kuvuruga Uchumi Wa Kati. Hao Watatueleza Ukweli
Ujinga wa maskini mweusi anaamini umaskini wake utaisha siku tajiri akifilisiwa na serikali ndio maana unaona povu za watu wengiMkuu kufanya biashara ni kazi ngumu sana.
Zote hizo ni kampuni kubwa duniani.
Toka zero hadi kutengeneza billion siyo kazi rahisi kihivyo.
Tuache roho mbaya kwa wengine.
Serikali inaweza biashara gani ikiwa hata ya korosho tu imeshindwaSasa si ndo biashara?,mfano mwaka huu watu wamestock mpunga kisha baadae kuuza kwa bei juu,
Hapa mi naona hii biashara ya mafuta ifanywe na serikali,hawa jamaa wafanye kazi za gereji kurepair magari,etc
Naunga mkono hoja maana hata kwny Korosho na Sukari wamefanya vzr sana,tena tutumie jeshi itapendeza.Sasa si ndo biashara?,mfano mwaka huu watu wamestock mpunga kisha baadae kuuza kwa bei juu,
Hapa mi naona hii biashara ya mafuta ifanywe na serikali,hawa jamaa wafanye kazi za gereji kurepair magari,etc
hata kwenye makinikia mlisema hivyo hivyo tulishawazoea.Ha ha haaaaa. Kirahisi hivyo. Wakilala ndani wiki lazima maji muite mma na chumvi mtanunua kama bangi.
Ngozi nyeusi tumekuwa viumbe wa ajabu sana.Ujinga wa maskini mweusi anaamini umaskini wake utaisha siku tajiri akifilisiwa na serikali ndio maana unaona povu za watu wengi
Mkuu umeongea kifasihi sana. Sijui mwaka 2040 taifa litakuwa na watu wajinga kiasi gani. Sometime naumia sana ninavyoona tunayo wawaza kama taifa.Naunga mkono hoja maana hata kwny Korosho na Sukari wamefanya vzr sana,tena tutumie jeshi itapendeza.
Bhanaa eeh Mrad mmeelewa shell nzo mpango mzima,..btw hujambo mrembo? Nmekumis ngoja nikasafishe macho igMazoea yana kazi sana
Kusema Petrol Station ni issuee
Shell mpango mzima