Wakulima waandamana mkoani Kagera kwaajili ya kuwaombea msamaha wanasiasa ambao hawatambui mchango wa serikali katika sekta ya kilimo

Wakulima mkoani Kagera wameandamana kwa ajili ya kumuomba msamaha Rais Samia Suluhu Hassan kwa niaba ya wanasiasa ambao wamejifanya hawatambui mchango wa serikali hasa kwenye sekta ya kilimo huku wakisema wengine wamekua wasomi kwa sababu wazazi wao waliwezeshwa kwenye kilimo kupitia serikali.

Maandamano hayo ya kumuomba msamaha Rais Samia yameanzia Mtaa wa Miembeni hadi ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Kagera Albert Chalamila.

View attachment 2426235
na huu ndiyo mkoa unaojulikana kuwa na maprofesa wengi na wanaojifanya wasomi, lakini watu wao mbumbumbu hivi....
 
Hao baba na babu zetu kama wasingejinyima miaka hiyo sisi wa mijini wala tusingefika tulipofika. Tupunguze hizi dharau zenye upofu ndani yake.
Dharau Iko wapi ndugu yangu? Tusiwe wanafiki, tuna nchi iliyojaa wajinga, tukikubali hili tutapona, sio dharau na Wala sijazungumzia kundi Fulani kwahio sio sahihi kuwataja Baba na Babu. Tupanue mawazo na sio midomo
 
Kubalini tu kuwa Samia anafanya vizuri na wakulima wanamuelewa Sana. Nadhani mnajionea wenyewe. Mwambieni bashiru asiturudishe enzi za Giza za jpm kila kitu ni uozo. Kipindi hicho:Ajira hakuna,kilimo hovyo, kuteka, kutesa na kuidhi kwa kuogopana.
Mbona kila mtu anafahamu kuwa haya maigizo ni ya kiwango cha chini na hayana faida, kwa ni i wanaendelea kuyafanya?
 
Wenzao babati kule bodaboda ndii walibebeshwa mabango yaliyoandikwa na mlamba asali mmoja.
 
Hizi Pesa za Propaganda wangeziongezea kwenye utafutaji wa masoko na kuboresha hali ya wakulima wala kungekuwa hakuna haja ya kuongelea kuhusu wakulima..., watu wangekluwa busy wanakula Bata sio kugeuka Wasanii...

By the way maandamo Ruksa ?
 
Wakulima mkoani Kagera wameandamana kwa ajili ya kumuomba msamaha Rais Samia Suluhu Hassan kwa niaba ya wanasiasa ambao wamejifanya hawatambui mchango wa serikali hasa kwenye sekta ya kilimo huku wakisema wengine wamekua wasomi kwa sababu wazazi wao waliwezeshwa kwenye kilimo kupitia serikali.

Maandamano hayo ya kumuomba msamaha Rais Samia yameanzia Mtaa wa Miembeni hadi ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Kagera Albert Chalamila.

View attachment 2426235
Hizi sura kama wamelazimishwa vile
 
Wakulima mkoani Kagera wameandamana kwa ajili ya kumuomba msamaha Rais Samia Suluhu Hassan kwa niaba ya wanasiasa ambao wamejifanya hawatambui mchango wa serikali hasa kwenye sekta ya kilimo huku wakisema wengine wamekua wasomi kwa sababu wazazi wao waliwezeshwa kwenye kilimo kupitia serikali.

Maandamano hayo ya kumuomba msamaha Rais Samia yameanzia Mtaa wa Miembeni hadi ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Kagera Albert Chalamila.

View attachment 2426235
Aliwahi sema mwanasiasa mmoja wa Chadema kuwa ni ngumu sana kuwatetea watanganyika 😀😀....... yaani hao wamekuwa organised tu ila hawajui hata wanachokifanya wala faida yake,wanatumika tu
 
Wakulima mkoani Kagera wameandamana kwa ajili ya kumuomba msamaha Rais Samia Suluhu Hassan kwa niaba ya wanasiasa ambao wamejifanya hawatambui mchango wa serikali hasa kwenye sekta ya kilimo huku wakisema wengine wamekua wasomi kwa sababu wazazi wao waliwezeshwa kwenye kilimo kupitia serikali.

Maandamano hayo ya kumuomba msamaha Rais Samia yameanzia Mtaa wa Miembeni hadi ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Kagera Albert Chalamila.

View attachment 2426235
Nchi mali ya Rais
 
Tukiweka siasa kando na kujadili Fact; Rais Samia amefanya mageuzi makubwa mno ktk sekta ya kilimo. 1. Serikali kuweka ruzuku kupunguza bei ya mbolea. Leo nimesoma sehemu, shehena ya tani 400,000 za mbolea ya Russia zinazuiliwa kwa vikwazo, hali inayochochea bei kubwa ktk nchi zinazoendelea. 2. BoT kuweka utaratihu mzuri ambao taasisi za fedha kama CRDB na NMB zimeshusha riba ya mikopo ya kilimo, 3. Masoko nje kama China yamefunguka. 4. Bajeti ya kilimo, umwagiliaji safi. Changamoto ni climate ikija kukaa sawa tutaona impact ya kinachofanyika sasa#Wakulima wanayo haki ya kuonyesha hisia zao za kuridhishwa. Tuheshimu uhuru wao.
zuzu lingine hili
 
Tukiweka siasa kando na kujadili Fact; Rais Samia amefanya mageuzi makubwa mno ktk sekta ya kilimo. 1. Serikali kuweka ruzuku kupunguza bei ya mbolea. Leo nimesoma sehemu, shehena ya tani 400,000 za mbolea ya Russia zinazuiliwa kwa vikwazo, hali inayochochea bei kubwa ktk nchi zinazoendelea. 2. BoT kuweka utaratihu mzuri ambao taasisi za fedha kama CRDB na NMB zimeshusha riba ya mikopo ya kilimo, 3. Masoko nje kama China yamefunguka. 4. Bajeti ya kilimo, umwagiliaji safi. Changamoto ni climate ikija kukaa sawa tutaona impact ya kinachofanyika sasa#Wakulima wanayo haki ya kuonyesha hisia zao za kuridhishwa. Tuheshimu uhuru wao.🙏🙏🙏
Mmoja wa waandamanaji huyu hapa
 
Wakulima mkoani Kagera wameandamana kwa ajili ya kumuomba msamaha Rais Samia Suluhu Hassan kwa niaba ya wanasiasa ambao wamejifanya hawatambui mchango wa serikali hasa kwenye sekta ya kilimo huku wakisema wengine wamekua wasomi kwa sababu wazazi wao waliwezeshwa kwenye kilimo kupitia serikali.

Maandamano hayo ya kumuomba msamaha Rais Samia yameanzia Mtaa wa Miembeni hadi ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Kagera Albert Chalamila.

View attachment 2426235
Mbona wameinama kwa aibu?
Screenshot_20221124-193950.jpg
 
Wakulima mkoani Kagera wameandamana kwa ajili ya kumuomba msamaha Rais Samia Suluhu Hassan kwa niaba ya wanasiasa ambao wamejifanya hawatambui mchango wa serikali hasa kwenye sekta ya kilimo huku wakisema wengine wamekua wasomi kwa sababu wazazi wao waliwezeshwa kwenye kilimo kupitia serikali.

Maandamano hayo ya kumuomba msamaha Rais Samia yameanzia Mtaa wa Miembeni hadi ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Kagera Albert Chalamila.

View attachment 2426235
Safi Sana wakulima
 
Wakulima mkoani Kagera wameandamana kwa ajili ya kumuomba msamaha Rais Samia Suluhu Hassan kwa niaba ya wanasiasa ambao wamejifanya hawatambui mchango wa serikali hasa kwenye sekta ya kilimo huku wakisema wengine wamekua wasomi kwa sababu wazazi wao waliwezeshwa kwenye kilimo kupitia serikali.

Maandamano hayo ya kumuomba msamaha Rais Samia yameanzia Mtaa wa Miembeni hadi ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Kagera Albert Chalamila.

View attachment 2426235
Kumbe nchi hii maandamano ya kisiasa ni ruksa?
 
Back
Top Bottom