Wakulima waandamana mkoani Kagera kwaajili ya kuwaombea msamaha wanasiasa ambao hawatambui mchango wa serikali katika sekta ya kilimo

Wakulima mkoani Kagera wameandamana kwa ajili ya kumuomba msamaha Rais Samia Suluhu Hassan kwa niaba ya wanasiasa ambao wamejifanya hawatambui mchango wa serikali hasa kwenye sekta ya kilimo huku wakisema wengine wamekua wasomi kwa sababu wazazi wao waliwezeshwa kwenye kilimo kupitia serikali.

Maandamano hayo ya kumuomba msamaha Rais Samia yameanzia Mtaa wa Miembeni hadi ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Kagera Albert Chalamila.

View attachment 2426235
Kagera ni wakulima wa nini

Labda ndizi lkn kuna hamna kituuu
 
Wakulima mkoani Kagera wameandamana kwa ajili ya kumuomba msamaha Rais Samia Suluhu Hassan kwa niaba ya wanasiasa ambao wamejifanya hawatambui mchango wa serikali hasa kwenye sekta ya kilimo huku wakisema wengine wamekua wasomi kwa sababu wazazi wao waliwezeshwa kwenye kilimo kupitia serikali.

Maandamano hayo ya kumuomba msamaha Rais Samia yameanzia Mtaa wa Miembeni hadi ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Kagera Albert Chalamila.

View attachment 2426235
Zamani niliamini Ziwa Magharibi ni wajanja na hawadanganyiki!!
 
Yaani cameraman kawachukua picha waandamanaji kwa juu asiwachukue kwa mbele
Poor Tanzania na nilivyosikia jina la mkuu wa mkoa baasi figisu kwake ndo zimetamalai
Ccm mengine sio lazima muigize mkubali tu hali kwa sasa sio kwa Tanzania hii ujuaji muache watanzania wameamka
Tafute namna ya kuondoa changamoto zinazowakabili wananchi sio hayo MAIGIZO
 
Nyie Tanzania ina watu wamejizima data


Ndivyo tujuavyo hivyo, kumbe sifa hiyo inaendana na unafiki. Wanaandamana huku nafsi zao zikiwastuta kuhusu mfumuko bei za bidhaa muhimu za msingi katika maisha ya kila siku.
1Timothy 4:2
 
Ndivyo tujuavyo hivyo, kumbe sifa hiyo inaendana na unafiki. Wanaandamana huku nafdi zao zikiwastuta kuhusu mfumuko bei za bidhaa muhimi za msingi katika maidha ya kila siku.
1Timothy 4:2
Bei za vitu zimeongezeka dunia nzima wewe unamlaumu raisi. Hivi nyinyi wengine uelewa wenu unakuwaje?


Waache wakulima wampongeze mama kwa kuwakomboa. Masoko ya mazao yote yako vizuri na bei za mazao yao ziko juu. Kwa mfano kahawa 2,000+ wakati huko nyuma wakati wa serikali ya kina Bashiru ilikuwa kilo ya kahawa imelingana na Bei ya soda 700!
 
Wakulima mkoani Kagera wameandamana kwa ajili ya kumuomba msamaha Rais Samia Suluhu Hassan kwa niaba ya wanasiasa ambao wamejifanya hawatambui mchango wa serikali hasa kwenye sekta ya kilimo huku wakisema wengine wamekua wasomi kwa sababu wazazi wao waliwezeshwa kwenye kilimo kupitia serikali.

Maandamano hayo ya kumuomba msamaha Rais Samia yameanzia Mtaa wa Miembeni hadi ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Kagera Albert Chalamila.

View attachment 2426235
Upumbavu wa kiwango cha rami
 
Bei za vitu zimeongezeka dunia nzima wewe unamlaumu raisi. Hivi nyinyi wengine uelewa wenu unakuwaje?


Waache wakulima wampongeze mama kwa kuwakomboa. Masoko ya mazao yote yako vizuri na bei za mazao yao ziko juu. Kwa mfano kahawa 2,000+ wakati huko nyuma wakati wa serikali ya kina Bashiru ilikuwa kilo ya kahawa imelingana na Bei ya soda 700!

Kwa hiyo walisubiri mpaka Dr Bashiru aseme aliyosema ndio waandamane. Na aliwaambia anataka kuombewa msamaha?
1 Timotheo 4:2 na Waefeso 4:19
 
Wakulima mkoani Kagera wameandamana kwa ajili ya kumuomba msamaha Rais Samia Suluhu Hassan kwa niaba ya wanasiasa ambao wamejifanya hawatambui mchango wa serikali hasa kwenye sekta ya kilimo huku wakisema wengine wamekua wasomi kwa sababu wazazi wao waliwezeshwa kwenye kilimo kupitia serikali.

Maandamano hayo ya kumuomba msamaha Rais Samia yameanzia Mtaa wa Miembeni hadi ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Kagera Albert Chalamila.

View attachment 2426235
Chalamila kesha nyooshwa na kuonja ugumu wa kukaa benchi huyu na wa Mbeya wamezidi kujikomba hadi nyefunyefu sijui wanamdanganya nani, harakati hizi za Chalamila na Homela ni kwa maslahi yao na jamaa zao.
 
Ukibahatika ukawa huna akili utaishi kwa raha sana maana kila kitu utaona kipo vizuri, nyeupe na nyekundu utaona zipo sawa, usiku na mchana utaona vinafanana, mrefu na mfupi tofauti yake pia hutaiona!

Ila ukiumbwa una akili timamu kichwani, hii Nchi unaweza ukafa mapema sana kwa stress.🤣🤣🤣
 
Wakulima mkoani Kagera wameandamana kwa ajili ya kumuomba msamaha Rais Samia Suluhu Hassan kwa niaba ya wanasiasa ambao wamejifanya hawatambui mchango wa serikali hasa kwenye sekta ya kilimo huku wakisema wengine wamekua wasomi kwa sababu wazazi wao waliwezeshwa kwenye kilimo kupitia serikali.

Maandamano hayo ya kumuomba msamaha Rais Samia yameanzia Mtaa wa Miembeni hadi ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Kagera Albert Chalamila.

View attachment 2426235
hao ni wajinga wakiongozwa na chalamilaa
 
Back
Top Bottom