Wakulima na wafugaji kumuunga mkono Rais Samia kwenye uchaguzi mwaka 2025

Sure,
That's true mkuu,
Mashamba ambayo hayakulimwa 3 yrs ago leo hii yote yamelimwa kila mtu anahitaji shamba saivi na yamekua adimu na bei ni ghali mbaya sana tunahemishika sasa 🐒
Saizi tafuta shamba uone jinsi ambavyo ni ghali kupata na bei zimepanda.

Kiufupi Mama amefanya Kilimo kiwe tumaini la watu kupatia mtaji tofauti na Miaka ya Mwendazake.

Kongole Kwa Samia na Bashe.
 
Saizi tafuta shamba uone jinsi ambavyo ni ghali kupata na bei zimepanda.

Kiufupi Mama amefanya Kilimo kiwe tumaini la watu kupatia mtaji tofauti na Miaka ya Mwendazake.

Kongole Kwa Samia na Bashe.
mimi naandika ujumbe huu niko shamba nimeshamsliza kulima kwangu, nikaona niongeze walau ekari walau 5 tu za kukodi nilime karanga na maharage leo ni siku ya nne nimeenda hadi milimani huko lakini sijafanikiwa mashamba yote yamelimwa....

This mama is taking us higher...
 
mimi naandika ujumbe huu niko shamba nimeshamsliza kulima kwangu, nikaona niongeze walau ekari walau 5 tu za kukodi nilime karanga na maharage leo ni siku ya nne nimeenda hadi milimani huko lakini sijafanikiwa mashamba yote yamelimwa....

This mama is taking us higher...
Mwaka Jana nimenunua ekari 30,nimelima kadhaa na nimekodisha zingine.

Sababu kubwa ni kwamba uhakika wa bei ,mfano bei ya mahindi awamu ya Jiwe ilikuwa 30,000-40,000 hii ni hasara.

Bei ya mama Kwa Sasa ni Kati ya 60,000-100,000 hii ni bei nzuri Kwa mkulima inalipa.

On top of that Serikali ndio mnunuzi Mkuu na Mama ameweka malengo ya kununua Hadi tani mil.3 by 2030 ,mwaka huu wamenunua tani 500,000 Kwa bei ya 70,000-90,000/100kg bag kutoka tani 250,000 za Jiwe na Kwa bei za ajabu ajabu
 
I can confirm to you without fear of contradictions, kwamba hayupo mkulima nchi hii atachagua kitu ingine wakati wa uchaguzi zaidi ya CCM na Dr.Samia Suluhu Hassan....
Ni kweli kabisa maana nchi imeshakuwa ya kifalme tunajua hadi mrithi ajaye.
 
Ni aibu sana kuanza kampeni kabla ya muda
hiyo kampeni imefanywa wapi au imetangazwa lini kua imeanza au haijaanza 🐒

kwahiyo maoni, mitazamo na dhamira za watu na makundi yao dhidi ya wanaodhani wanafaa kuongoza ndio kampeni?

Imekukeraeee?

Hiyo ilani iko wap 🐒
 
Ni kweli kabisa maana nchi imeshakuwa ya kifalme tunajua hadi mrithi ajaye.
Utajua mwenyewe ila watu wanaangalia wamenufaikaje na awamu ya mama,hayo mengine ni ya Vijiweni kwenu.

Watu wengi wanapomzungumzia Samia wanakwepa kuzungumzia matokeo ya Utendaji kazi wake ila wanatafutiza vijisababu vya kijinga 😁😁

Angalia hata kwenye Ajira Samia utamlinganisha na Jiwe?
 
Mwaka Jana nimenunua ekari 30,nimelima kadhaa na nimekodisha zingine.

Sababu kubwa ni kwamba uhakika wa bei ,mfano bei ya mahindi awamu ya Jiwe ilikuwa 30,000-40,000 hii ni hasara.

Bei ya mama Kwa Sasa ni Kati ya 60,000-100,000 hii ni bei nzuri Kwa mkulima inalipa.

On top of that Serikali ndio mnunuzi Mkuu na Mama ameweka malengo ya kununua Hadi tani mil.3 by 2030 ,mwaka huu wamenunua tani 500,000 Kwa bei ya 70,000-90,000/100kg bag kutoka tani 250,000 za Jiwe na Kwa bei za ajabu ajabu
Yes,
Bei ya mazao imekua kivutio kikubwa sana kwa wakulima kujitutumua bila kujibakiza ktk kilimo....

Mbegu bora na mbolea imewapa hamasa na nguvu zaidi...

Eti from no where jamaa ata halieleweki lije kuwahadaa wakulima, thubutu 🐒
 
halafu na wewe Gwallo saa zingine una utani mwingi sana na wakati mwingine uko unatafuna mahindi ya kuchoma au bisi😅ambayo pia ni mahindi hapo bado bamia, nyanya chungu, hoho na karoti

Wakulima wa dar wanampongeza sana ndugu rais kwasababu wao huuza zaidi ya tani5 za mahindi ya kuchoma kila siku wanayolima wennyewe katika mabonde mbalimbali achilia mbali mahindi yanayotoka moro na pwani kwahiyo hakuna mahali wakulima wataacha kumpongeza hyu mama kwakweli....

Soko la Mahindi nafaka na Mahindi ya kuchoma na bisi ni pana kama kikosi cha yanga aise....
Mkuu Tlaatlaah labda wakulima wa Dar wanamwuunga mkono mama niambie soko la Mahindi lilipo...
 
we uko bize sana mkuu,
hata magazeti huna muda kuyapitia, mitandao ya kijamii ndio kama hivi unagusagusa tu, kwenye vikao vya kijiji na mtaa huji, kwenye viweje vya kahawa hutaki kujoin, taifa kwenye mechi huendagi, huonekani msikitini, kanisani, kwenye ndoa, send off na mazishi utajuaje mambo haya ndruuuugu yangu 🐒

sie ndio tunamilza kulima na kupanda tumemuoa kwenye mbegu za mazao na mifugo, mbolea na madawa ya mimea na mifugo tunaachaje kushukuru na kwendra nae bampa to bampa hadi 2030🐒
😬😬😬😬,
 
Back
Top Bottom