kilo 10-12Wakulima debe la mpunga hutoa kilo ngapi za mchele?
Apa nilipo debe la mpunga ni 15,000 nataka kujua hutoa kilo ngapi ili nijue gharama ipo wapi, mchele dukani kilo ni 2,400-2,600
Sasa kwa nini mnatuuzia mchele Bei mbaya?kilo 10-12
kuna ushuhuru na usafiri mpaka mchele ukufikie nduguSasa kwa nini mnatuuzia mchele Bei mbaya?
Mkuu msimu ujao wa kilimo njoo nikupe hekari moja na nusu za majaruba ulime uone msoto wa kilimo cha mpungaSasa kwa nini mnatuuzia mchele Bei mbaya?
atakimbiaMkuu msimu ujao wa kilimo njoo nikupe hekari moja na nusu za majaruba ulime uone msoto wa kilimo cha mpunga
Mimi nampa majaruba bure kabisa ni nguvu zake tuatakimbia