Wakristo wenzangu, kwahiyo pamoja na kuwa na elimu zetu Bado tunaamini Nabii Yona alimezwa na nyangumi na akatapikwa akiwa Yu hai?

Wakristo wenzangu, kwahiyo pamoja na kuwa na elimu zetu Bado tunaamini Nabii Yona alimezwa na nyangumi na akatapikwa akiwa Yu hai?

Nikifa MkeWangu Asiolewe

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2024
Posts
11,250
Reaction score
24,081
Hapa sasa nakubaliana na Mzee Kikwete hasa aliposema Akili za kuambiwa changanya na zako.

Inawezekana vipi mtu amezwe siku3 nzima mchana na usiku Kisha akatapikwe akiwa Yu hai?

Haihitaji maelezo mengi sana naishia hapa ila Mimi pamoja na ukristo wangu nakiri wazi tulipigwa chumvi iliongezwa mno kwenye hadithi hii.

FB_IMG_1773575402341.jpg

 
Hapa sasa nakubaliana na Mzee Kikwete hasa aliposema Akili za kuambiwa changanya na zako.

Inawezekana vipi mtu amezwe siku3 nzima mchana na usiku Kisha akatapikwe akiwa Yu hai?

Haihitaji maelezo mengi sana naishia hapa ila Mimi pamoja na ukristo wangu nakiri wazi tulipigwa chumvi iliongezwa mno kwenye hadithi hii.

Kama unabisha hilo,Kwa nini unaamini viumbe wakijamiiana wanatunga uzao mpya unaokaa tumboni kwa wa kike siku/miezi kadhaa kabla ya kuzaliwa kiumbe kipya chenye uhai?Kwa nini hutaki kuziamini siku tatu ila ukubali uzao mpya kukaa siku nyingi tumboni kabla ya kuzaliwa?
 
Hapa sasa nakubaliana na Mzee Kikwete hasa aliposema Akili za kuambiwa changanya na zako.

Inawezekana vipi mtu amezwe siku3 nzima mchana na usiku Kisha akatapikwe akiwa Yu hai?

Haihitaji maelezo mengi sana naishia hapa ila Mimi pamoja na ukristo wangu nakiri wazi tulipigwa chumvi iliongezwa mno kwenye hadithi hii.


Kipi hakiwezekani Mkuu?

Kama Sisi kuzaliwa imewezekana unafikiri aliyeratibu na kuumba yote haya hawezi kufanya hilo la Yona kuishi kwenye tumbo la nyangumi?

Kama motto anakaa miezi tisa tumbo kwa mamaake kwa mfumo maalum. Hushangai!
Kipi kinakufanya ushangae mtu kuishi ndani ya tumbo la Nyangumi kwa Siku tatu? Je kama hizo Siku tatu kuna mfumo maalum uliwekwa kumfanya Yona a survive?

Kama mtu kwenda mwezini au Mars tunaamini kwa nini tusiamini ya Yona?
 
Mkuu kama unaamini kwenye dini basi unaamini Mungu ndio aliumba wanyama wote na binadamu so kama aliviumba mwenyewe anashindwaje kuvitumia anavyotaka?

Ila zaidi ya hapo kwenye biblia ni muktadha tu, mfano hapo haijalishi alikaa siku tatu au sekunde ila ujumbe hata kama ni wa lugha ya picha ni kwamba usikimbie wito wa Mungu. Hata Yesu alikua anatumia mifano zaidi sio stori za kweli ili kufikisha ujumbe kwa lugha ya picha!! So it's possible ila kikubwa ni kufikisha fundisho.
 
Kama unabisha hilo,Kwa nini unaamini viumbe wakijamiiana wanatunga uzao mpya unaokaa tumboni kwa wa kike siku/miezi kadhaa kabla ya kuzaliwa kiumbe kipya chenye uhai?Kwa nini hutaki kuziamini siku tatu ila ukubali uzao mpya kukaa siku nyingi tumboni kabla ya kuzaliwa?
Umesoma sayansi hata kidogo?
Hivi mimba inatungwa kwenye tumbo la chakula?

Unataka kumaanisha kuwa Yona naye aliingizwa kwenye mfuko wa uzazi wa nyangumi?
 
Tuambie ya kwako, pengine tutayaamini

Haya hapo mkuu.
 
Atunge mafundisho yake tukayasome!

Soma hapo uamini maana yana ushahidi ulio wazi
 
Umesoma sayansi hata kidogo?
Hivi mimba inatungwa kwenye tumbo la chakula?

Unataka kumaanisha kuwa Yona naye aliingizwa kwenye mfuko wa uzazi wa nyangumi?

😄😄😄
Akili zetu ziko limited ndio maana tunaamini kwamba mimba lazima itungwe kwenye mfumo wa uzazi tuu. Wakati sio lazima.
Ndio maana Wapo watu waliozaliwa kwa mfumo ambao ni tofauti na mfumo wa kawaida. Akiwemo Yesu.

Adam na Hawa hawakuzaliwa.
 
Umesoma sayansi hata kidogo?
Hivi mimba inatungwa kwenye tumbo la chakula?

Unataka kumaanisha kuwa Yona naye aliingizwa kwenye mfuko wa uzazi wa nyangumi?
Wewe mtu,tunaeleza kuhusu biblia,Yona na nyangumi.Na likitajwa tumbo,fanya ujumla wa maumbile yote.Au unataka utajiwe kimojakimoja kwamba hilo ni kalio,pale ni kojoleo na kibofu kipo mumo kwa pale?
 
Kipi hakiwezekani Mkuu?

Kama Sisi kuzaliwa imewezekana unafikiri aliyeratibu na kuumba yote haya hawezi kufanya hilo la Yona kuishi kwenye tumbo la nyangumi?

Kama motto anakaa miezi tisa tumbo kwa mamaake kwa mfumo maalum. Hushangai!
Kipi kinakufanya ushangae mtu kuishi ndani ya tumbo la Nyangumi kwa Siku tatu? Je kama hizo Siku tatu kuna mfumo maalum uliwekwa kumfanya Yona a survive?

Kama mtu kwenda mwezini au Mars tunaamini kwa nini tusiamini ya Yona?
Nashangaa na kutokupata majibu sahihi kwa sababu nimetafakari sana muda mrefu.

Mimi nimewahi kuvua samaki na dagaa lakini kamwe kila nilikuwa kimchuna sangara ni lazima nikutie kila samaki aliyeliwa amekufa. Hapo ndo maswali yanazidi kuwa mengi kwamba Yona iliwezekana vipi kumezwa na aka survive siku3 zote? Jibu huwa nakoswa.

Ukiweka mfano wa mimba na mtoto anvyokaa tumboni hapo hata sayansi inamajibu yakinifu kabisa ukaelewa pasipo kuwa na swali.

Maana mtoto anamfumo wake kabisa mzuri wa kumpa mahitaji yake yote.

Elewa kuwa Yona yeye alikaa kwenye tumbo la nyangumi hapo ndo utata unakuwa.
 

Soma hapo uamini maana yana ushahidi ulio wazi
Nimesoma ila nataka mfundusho yanayoendana na haya yenye ushahidi kutoka kwako! Sitaki kujua maana nataka tu fundisho jipya lisilotoka kwa unaowahisi waongo na sijui ili iweje!
 
Moja ya story zilizo nifanya niachane na mambo ya kuamini katika dini ni hiyo
We kila story ilikutoa kwenye reli unapenda haya mambo ni kama kuna mtu anakushtua kwenye nyuzi kama hizi 😑
 
Kipi hakiwezekani Mkuu?

Kama Sisi kuzaliwa imewezekana unafikiri aliyeratibu na kuumba yote haya hawezi kufanya hilo la Yona kuishi kwenye tumbo la nyangumi?

Kama motto anakaa miezi tisa tumbo kwa mamaake kwa mfumo maalum. Hushangai!
Kipi kinakufanya ushangae mtu kuishi ndani ya tumbo la Nyangumi kwa Siku tatu? Je kama hizo Siku tatu kuna mfumo maalum uliwekwa kumfanya Yona a survive?

Kama mtu kwenda mwezini au Mars tunaamini kwa nini tusiamini ya Yona?
Mbona Sasa Huwa mnambishia Tonie kapola baada ya mkewe kusema kwamba Huwa mumewe anajaza mtungi wa gesi Kwa mdomo !?

Mean while mnaoamini kwamba Kuna miujiza ya mungu kama hiyo ya mtu kumezwa na samaki !? Watu wa hizi dini bhana 😁🙌

Kimsingi mafundisho ya dini yote yamejaa simulizi za kutungwa , Lakini zilikuwa na lengo la kumfundisha binaadamu kwamba anapaswa kuwa mvumilivu jasiri na ambaye hapaswi kuwa mwenye kukata tamaa haijalishi anapitia magumu kiasi Gani katika maisha , After the Darkness there's a bright ,ndio lengo la hizo concept na sio kwamba kweli Kuna mtu alimezwa na samaki watu wa Imani mnaupofu wa Kufikiri sio Bure ,

Una Kuta mtu mwenye Imani kama Yako akiambiwa hiyo story ya Noah ana iamini lakini hapo hapo akikutana na mtu mwingine mwenye Imani tofauti na yake Akimwambia kuwa waislam wakifa wanapewa mabikira 72 anapinga so which is which !?

Mbona zote ni story tu zinazo fanana !? Na hampaswi kuchekana kabisa 😁
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom