Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 29,050
- 51,613
So wrong, hiyo sio kauli sahihi, kuna ma sheikh wametekwa na kupoteza maishaGwajima
Kitima
Hili sio shambulio landini bali shambulio la wanaosema ukweli
So wrong, hiyo sio kauli sahihi, kuna ma sheikh wametekwa na kupoteza maishaGwajima
Kitima
Yap yapNdio tuamke, mkoloni mweusi atoke💯⚒️
Tulia dawa ikuingieAmka tu peke yako mjomba, usiwasemee na wengine
sheikh gani ametekwa kwa bara kwa kukosoa serikali? All in all, this is the way you see it! to me ni shambulio la wakristo!So wrong, hiyo sio kauli sahihi, kuna ma sheikh wametekwa na kupoteza maisha
Hili sio shambulio landini bali shambulio la wanaosema ukweli
udini upo na utaendelea kuwepo milele, ila hautatutoa kwenye malengo mahususi kama ya kujenga taifa moja la dini zote! kama unajitambua you have to raise alarm early!Acha udini
Bara? So this is about bara si tz nzima?sheikh gani ametekwa kwa bara kwa kukosoa serikali? All in all, this is the way you see it! to me ni shambulio la wakristo!
Nyie ndio mamlaka ziwatafute Kwa kuchochea mgawanyiko wa kidiniWakristo tunashambuliwa, tujitetee!
- Gwajima
- Kitima
Kila mtu abebe mzigo wakeWakristo tunashambuliwa, tujitetee!
- Gwajima
- Kitima
Tulia dawa ikuingie
SUBIRI UFE KESHO UTAMJUA YESU!
huko sipo, huko sipo, naangalia kushambuliwa kwa kundi fulani......Issa bin Maryam, atakuaje mtoto wa Mungu!
Nabii Muhammad S.A.W alitumwa kwa walimwengu wote.
Nabii issa (AS) alitumwa kwa wana wa israel tu.
Toa kwanza picha ya huyo gaidi anaekunywa damu za ndugu zetu waislamu, ndipo uchangieLitafanyiwa kazi vizuri msiwe na wasiwasi
Tunahitaji kila MTU anayepinga udikteta sio vita ya ukristo vs watu flaniWakristo tunashambuliwa, tujitetee!
- Gwajima
- Kitima
huko sipo, huko sipo, naangalia kushambuliwa kwa kundi fulani......
Uyo maza wa ikulu kuna matusi makubwa sana niko namtukana kimoyo moyo apa ni makali saaanaaaaa
Watumeni chawa wenu wani burn
Acha kueneza chuki haitokusaidia kitu, na mnaharibu hata nguvu na maana yote ya upinzani na kupigania haki, inaonekana kama kikundi cha chuki tu na huwezi kupata support ya makundi mengine au dini nyingine, na hapo ndio chadema wanapofeliWakristo tunashambuliwa, tujitetee!
- Gwajima
- Kitima