Mimi ni mkristo mTanzania.
Nchi na serikali yetu haina dini Ila Sisi tuna dini zetu.
Uhalifu hauna dini na wahalifu wanaojificha kwenye kichaka cha dini ni wabaya zaidi.
Dini zote na watu wote waadilifu hawataki uhalifu.
Yeyote anayeunganisha dini na uhalifu anakosea, tuwashughulikie wahalifu kwa uhalifu wao na siyo dini zao.
Tutumie haki na sheria kuhukumu.
Nchi na serikali yetu haina dini Ila Sisi tuna dini zetu.
Uhalifu hauna dini na wahalifu wanaojificha kwenye kichaka cha dini ni wabaya zaidi.
Dini zote na watu wote waadilifu hawataki uhalifu.
Yeyote anayeunganisha dini na uhalifu anakosea, tuwashughulikie wahalifu kwa uhalifu wao na siyo dini zao.
Tutumie haki na sheria kuhukumu.