Wakristo tunashambuliwa, tujitetee!

Wakristo tunashambuliwa, tujitetee!

nikitaka kusaidiwa namuomba mungu sio yesu yesu mwenyewe alishindwa kujisaidia ataweza kunisaidia mimi?
Tatizo ni uwezo wa akili yako kuelewa! Kama aliweza kupaa angeshindwa nanini nanani hasa?
Kama anayatibua mapepo machafu atashindwa kitigani?
Huyo Musa tuu alikomesha wamisri sembuse Bwana wetu Yesu Kristo aliyetajwa maranyingi kwenye Qur'an kuliko... Acha mihemuko tumia hata common sense
 
Tatizo ni uwezo wa akili yako kuelewa! Kama aliweza kupaa angeshindwa nanini nanani hasa?
Kama anayatibua mapepo machafu atashindwa kitigani?
Huyo Musa tuu alikomesha wamisri sembuse Bwana wetu Yesu Kristo aliyetajwa maranyingi kwenye Qur'an kuliko... Acha mihemuko tumia hata common sense
kwanini alishindwa kujitetea alivyo shushiwa kipigo?
 
Ukristo hauwezi kutikiswa kamwe - huyo mama anatafuta asichokijua..

Amtumainiaye bwaña ni kama mlima sayuni...
 
kwanini alishindwa kujitetea alivyo shushiwa kipigo?
Gb za akili yako ndogo huwezi elewa wewe kariri kiarabu kuandika kinyumenyume ndomana fikra zako ni vice versa.
Kwakumtumia Yesu wasilamu wenzio wametolewa mapepo ambayo mashehe wameshindwa.
Shangaa mnapambana na Yesu kuliko mnavyopambana na shetani
 
Wakristo tunashambuliwa, tujitetee!
  • Gwajima
  • Kitima
Tunashambuliwa na nani?
"Ukristo" Unatoka wapi? Au, kwa vile anayetoa amri sasa hv ni muislam!?
Mnakumbuka mauaji ya mwembechai ya mkapa!? Vipi kipigo alichotoa zenj kwa wana cuf, watu walipigwa, wakabakwa, waliokimbia kwa mitumbwi, walizamishwa majini! Vipi mauaji, aliyofanya Maghu!sikusikia hz, kelele za wakristo tunauliwa, kwa vile tu aliyekuwa anaua ni mkristo!
CCM ni ile ile, ukienda kinyume nao,wanakuchomoa, tu, kwao Mambo ni matatu,
Uende jera, ukimbie nchi, au uende mbinguni!
 
Karibu tule kitimoto rost na wine hapa mambo ya Yesu hutayaelewa mpaka tukutoe mapepo ulonayo.
Sisi tunajivunia Yesu ninyi mnajivunia majini...huruma sana
binadamu mwenzetu yesu/nabii aliteswa sana mungu akamnusuru kwakumnyakua msarabani

halafu nyie kenge mnamuita yesu mungu😁😁😁😁
 
binadamu mwenzetu yesu/nabii aliteswa sana mungu akamnusuru kwakumnyakua msarabani

halafu nyie kenge mnamuita yesu mungu😁😁😁😁
We Kajini hujawahi gundua kitu labda style ya kunya alafu unabishia wasomi wabobezi wa theology duniani hujioni kuwa pumbafu mbobezi?
Unachukua point Kwa shee mazinde aliyefeli shule akaachia darasa latatu😁 au she kipozeo anayehubiri kupenda misambwanda msktin!
Kwanza mashehe wengi shule iliwashinda Leo eti wanaifundisha bible 🤣 jinga kabisa!
Ninyi mlichotuzidi ni majini,kuoaoa hovyo na kupapatikia waarabu😁
 
Tunashambuliwa na nani?
"Ukristo" Unatoka wapi? Au, kwa vile anayetoa amri sasa hv ni muislam!?
Mnakumbuka mauaji ya mwembechai ya mkapa!? Vipi kipigo alichotoa zenj kwa wana cuf, watu walipigwa, wakabakwa, waliokimbia kwa mitumbwi, walizamishwa majini! Vipi mauaji, aliyofanya Maghu!sikusikia hz, kelele za wakristo tunauliwa, kwa vile tu aliyekuwa anaua ni mkristo!
CCM ni ile ile, ukienda kinyume nao,wanakuchomoa, tu, kwao Mambo ni matatu,
Uende jera, ukimbie nchi, au uende mbinguni!
Wote hao waliua indiscriminately!
 
Mnatakaje? Tunyukane? Fresh tu. Maana wameshambuliwa mashehe si mlisema hawana elimu?
 
Back
Top Bottom