mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 20,455
- 36,446
Gwajima
Kitima
Acheni uchochezi Wa kishetwqni
Yule shekhe aliyekufa ni mkristo?
Gwajima
Kitima
Au sio,Ya kaisari apewe Kaisari,Ya Mungu apewe Mungu!Ila yanaingilians tukitenda kwa Hekima na ufahamu!siasa na dini havichangamani
Baba ake yesu ni yusufu..We punguani mwamedi mamake ni Amina babake abudala Sasa niambia baba mzazi wa Yesu ninani?? Jibu kama unajua neno!!
Alafu kwanini Maria mama wa Yesu ni mama Bora kuliko Amina mamake mwamed?
Tuamke toka usingizini
wacha urongo mbona walimpa nafasi ya kugombea ubunge au kipindi kile Gwajima hakuwa na dini au ubunge sio siasa ni bongo fleva?
Nilifikiri ni Uzi wa kufirisha akili kumbe ni Uzi wa kuonyesha chuki dhidi ya Waislamu na Waarabu tu; hauninyimi usingizi, utapotea kama Moshi wa sigara kwa uwezo wa Mungu mkuu.....
wapiga kura wamechil wanasubiria karatasi yenyepicha waanze kuuliza "wasisiemu yukowapi mana hatutaki vita"😁😁😁😁😁
1) Amina Chifupa alipotaka kuja kuwataja wauza unga- Chap... Aliuawa before press
2) Josephat Gwajima aliposema next atakuja na orodha ya watekaji- chap.. wamefungia kanisa lake!
Huyu ni nani?
Huyo Mzee anazingua sana kwqni ni ukoo?kweli kuna hichi kizazi kuanzia miaka 46 kwenda juu, kuna mtu mzima mmoja analalamika mambo yanavyoenda ila anasema yeye atachagua tu CCM sababu anakipenda chama, yeye ajali watu tena akanitolea mfano wa dini eti wewe ukiona mchungaji wako amefanya makosa utaacha kwenda kanisani
Wengi wao wako hivyo.Sio wote mkuu tafadhari.
We unapigania JF. Toka upambane kama we mwanaume kweli. Shwainnnn!wapiga kura wamechil wanasubiria karatasi yenyepicha waanze kuuliza "wasisiemu yukowapi mana hatutaki vita"😁😁😁😁😁
Juzi tu zenji hapo shekhe ametekwa amepatikana amekufaAcha udini dogo kuna mashee wangapi wameuwawa na wengine wako gerezani? Mi nashangaa JF kwa kuziacha nyuzi kama hizi.
CHADEMA si wapuuzi wenye mihemko tu. Ukiwa na busara huwezi kuanza kuzungusha ngumi🤭🤭🤭Tanzania hii kwa nini mtu akizeeka anakuwa CCM hata kama zamani alikuwa chadema.
Hili swali huwa najiuliza na jibu bado Sina.
Hahaha 😂🤣CHADEMA si wapuuzi wenye mihemko tu. Ukiwa na busara huwezi kuanza kuzungusha ngumi🤭🤭🤭
Mapacha.Wenye mimba za chuki wote safari hii watajifungua