kirengased
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 6,818
- 7,484
Kumbe unajua mimba yake ni Kwa amri ya Mungu Sasa elewa yeye ni mwana wa Mungu unamwitaje mtu wa kawaida? Unamfananishaje na mwamedi aliyetoka viunoni mwa abudala?yesu hana baba mungu kazihirisha ukubwa wake kwa kuleta binadamu duniani asie na baba ila mama tu
Huoni yakuwa Yesu aliletwa mahususi na Mwenyezi Mungu Kwa kazi maalum? Au majini yanakukorapti akili