Wakristo tunashambuliwa, tujitetee!

Wakristo tunashambuliwa, tujitetee!

siasa zina determine hata wewe kwenda kanisani, msikitini...kula yako, kuvaa yako, nyumba yakotc etc all are determined by siasa. Acha propaganda za wana siasa
Usichanganye dini na siasa nyimba za mungu tuongee ya mungu siasa uwanja wake unajulikana tafadhali au unataka siasa ziingie nyumba ya ibada kama mmekosa ushawishi kwa watu tafadhali kubalini kushindwa msipeleke siasa kwenye nyumba za mungu.
 
Ila wakristo bwana, mara yesu ni mungu mara ni mwana wa mungu mara sijui nini, aise hamueleweki


Free palestine 🇵🇸
Huwezi elewa kama unaamini majini? Iwapo unasema kunamajini mazuri utamuelewa vipi Yesu wakati kaziyaje ni kuyafurusha!!
Wewe mwelewe mwamedi na wakeze 10 na nusu (yaani nakale kamiaka Tisa)😁
 
KUna watu walijaribu kuficha kwamba Kristo hakufufuka, wakati huo ukisema alifufuka adhabu yake ilikiwa ni kifo ..kiko wapi leo?

Ukristo utabakia kuwa ukristo tu, no matter what.
 
Mleta bandiko acha udini,badilisha heading,imekaa kichonganishi sana
 
Kajini Mungu alimleta mwanawe Yesu Kristo Kwa kauli. Shida mnapenda ngono ndomana mna oaoa sana mkisikia mtoto mnajua kukatikiana! Foolish,
Mungu huagiza na ikawa nabado anabaki kuwa baba open your silly little brains...
Mimi naitwa baba nawanangu kwahio nikosawa na mungu wenu?
 
Back
Top Bottom