Nasikia siku hiz hamna kitu shule imemshinda kabisaNamkumbuka tulikuwa nae Umbwe s nilimuacha UDSB ni lecturer pale.nakumbuka aliongoza account mtihani wa kidato cha sita akapewa zawadi na Coca cola.alikuwa kichwa sana yule jamaa.
Nasikia siku hiz hamna kitu shule imemshinda kabisaNamkumbuka tulikuwa nae Umbwe s nilimuacha UDSB ni lecturer pale.nakumbuka aliongoza account mtihani wa kidato cha sita akapewa zawadi na Coca cola.alikuwa kichwa sana yule jamaa.
Heee.ameacha kazi pale udsm au!?Nasikia siku hiz hamna kitu shule imemshinda kabisa
Wewe mwenyewe mbona hatukuoni au unataka maTO tuwe tunafufua watu?Wana jamii huwa najiuliza sana toka nikiwa shule ya msingi nasikia tanzaniaa one form 4, 6 na hata vyuoni. Nikiwa udsm nilipata kujionea mtu mmoja aliyekuwa amenitangulia mwaka mmoja chuoni nikiwa nasoma degree program kama yake alikuwa udsm one . lakini toka nihitimu udsm huku mtaani siwaoni hawa vipaji wetu. nauliza huwa wanapotelea wapi?. au elimu yetu ni mbwembwe ya makaratasi tu?.
Kuna masomo ya kulala na kuamka, sasa wewe lala na kuamka na physics, mathJamani lazima kujua kwamba elimu yetu inapima kwa mtihani wa mwisho tu, hiki kitu siyo sahihi maana inategemea sana mtu gani kalala na kuamukaje siku husika ya mtihani. Mie nadhani T.Os wa uhakika wanapatikana kwenye matokeo ya kuhitimu bachelor degree kwa maana ya inclusive results (coursework+UE). Mtu anayeweza kutoka ka 5, 4.9,4.8 au hata 4.7 huyu kweli anaouwezo katika fani husika. Kwa vile hawa hawatangazwi nje ya vyuo ndiyo maana hatuwajui na kuwafuatilia kwa karibu. Kwangu mie hawa ndiyo walistahili kuwa T.Os wa ukweli.
T.O university of .......??T.O ziko hadi Chuo Kikuu?
Kweli ukipenda boga.
Mko shirika gani mkuu na hao whites pamoja na T.O mkuu nami nipate nafasi hata ya usafi wa kila Aina nipate tu Kodi ya meza kwa familia yanguKuna mmoja tunae kazini, Ni kichwa balaa. Akiongea hata white people wanakaa kumsikiliza.
Mlishakaririshwa kwamba watu weupe ni miungu inayotembea!Kuna mmoja tunae kazini, Ni kichwa balaa. Akiongea hata white people wanakaa kumsikiliza.
Jamaa yupo ewura ni meneja wa mauzo paleKuna jamaa wakuitwa raymond kichwa sana huyu jamaa amepiga kibaha kama sikosei 2005 o level. Sijui yuko wapi anaejua jamani
dah! Huyuhuyu raymond mwang'amba? Kitambo huyu jamaa.Jamaa yupo ewura ni meneja wa mauzo pale
dah! Huyuhuyu raymond mwang'amba? Kitambo huyu jamaa.
Hiyo namba saba hiki chuo kipo Tanzania? Au Thailand au Togo. Maana TO ni Tanzania OneMartin Chegere:
1. T. O Darasa la saba.
2. T. O Form 2 wastani wa 98.
3. T. O Form 4 Mau Seminary I-7.
4. T. O Form 6 Pugu Secondary (EGM) I-3.
5. T. O University / Degree UDSM GPA-4.9 (Economics & Statistics).
6. T. O University /Master's UDSM Economics GPA-5.
7. T. O University/PhD Gothenburg University
Yuko UDSM ana fundisha...
Kantalamba hakujawahi kuwa na PCB tangu shule ianzishweLUSEKELO wa MZUMBE ni Noma yule jamaa,kwanza Baada ya kuongoza Alevel Science hope PCM,Alikwenda kusoma Mzumbe University BAF,Then kipindi yuko mwaka wa Pili akafanya CPA Akaongoza wa kwanza kwenye hiyo mitihani ya CPA.Jamaa yupo vizuri sana.....
Kuna Mtu Mwingine anaitwa MANGULA MICHAEL...Ni lecture Mzumbe university huyu jamaa ni Balaa,Alisoma Kantalamba PCB Akapata Division Two point 12.akafanikiwa kuingia chuo Mzumbe Miaka ya 2003.jamaa aliondoka na 4.9 GPA,Akaenda kusoma Udsm Masters ya Engineering akapata 4.8 GPA,Jamaa ni Nomaa...Yupo pale Mzumbe University anafundisha..Huwa anajiita Fast learner Au Son of Peasant.
daaaah hatareeh sana lolKantalamba hakujawahi kuwa na PCB tangu shule ianzishwe