Abdy Misen
Member
- Feb 4, 2021
- 12
- 16
Mimi ni mwanafunzi niliemaliza kidato cha 6 mwaka huu na kama kawaida niliomba mkopo kwa sabab natokea katika familia duni ili pengine niweze kuokoa jahazi nyumbani na kipindi tunasoma tuliaminishwa kuwa kufanya kwetu vizuri kungetupa fursa nzuri ya kupata mkopo ndio tumefanya vizuri lakini kinachosikitisha zaidi mpaka sasa SIJAPATA walau ata 0% na ada ni Mil1.3.
Mpaka sasa nimekosa matumaini ya kuendelea na masomo katik ngazi ya elimu ya juu na kwa hadhi ya elimu hii ni kama nilpoteza muda kwa zaidi ya miaka miwil wakat mwingine nawaona bora hata walosoma vyuo vya kati maana hata wana diploma na sio mimi tu wapo weeengi mno ambao mpaka sasa wapo mtaani na hawana uelekeo wowote wa kimaisha yaani miaka miwili tulioipoteza sasa ni kama tunajutia kupoteza huu muda na hali ya kuwa hatujui mtaani tunaingiaje sasa ndipo nimeona niletee huu uzi pengine waliokosa mikopo miaka ya nyuma watupe experience maana ni kundi ambalo halizungumziwi na ni kama waliachwa wapambane na hali zao.
Mpaka sasa nimekosa matumaini ya kuendelea na masomo katik ngazi ya elimu ya juu na kwa hadhi ya elimu hii ni kama nilpoteza muda kwa zaidi ya miaka miwil wakat mwingine nawaona bora hata walosoma vyuo vya kati maana hata wana diploma na sio mimi tu wapo weeengi mno ambao mpaka sasa wapo mtaani na hawana uelekeo wowote wa kimaisha yaani miaka miwili tulioipoteza sasa ni kama tunajutia kupoteza huu muda na hali ya kuwa hatujui mtaani tunaingiaje sasa ndipo nimeona niletee huu uzi pengine waliokosa mikopo miaka ya nyuma watupe experience maana ni kundi ambalo halizungumziwi na ni kama waliachwa wapambane na hali zao.