Consigliere
Platinum Member
- Sep 9, 2010
- 12,689
- 26,568
jMali..interahamwe in chief.....@vyuma..aka P. Nkurunziza (nchi imemshinda)..na wengine wengi walikata tamaa wamuachia jMali ukumbiNimeanza kujiuliza kwamba wapo wapi wale wapinga Kagame ambao walikua wakichochea uhasama wa Tanzania na Rwanda kupitia Kikwete?
Watu hao walikua ni mafundi wa matusi kwa Kagame na Rwanda yake ilifikia kipindi wakawa wanatafsiri hadi picha za Ma-bodyguard kwamba ni kwa kiasi gani wale wa Tanzania hawamuamini Kagame. Lakini hivi sasa hali imebadirika kabisa, Magufuli na Kagame wameonyesha si tu kwamba wao ni viongozi wa nchi bali pia ni marafiki wanaoelewana na kila mmoja akimkubali mwenzake kiutendaji.
Anti Kagame wapo kimya either wamekosa au wamepoteza maneno ya kuongea. Hawaelewi waya shape vipi mawazo yao dhidi ya Kagame.
Wamehamia kwa kenyatta vs Magufuli( bomba la mafuta)
Tupo na hatumwamini Kagame, tunaomba Rais wetu awe makini. Tunachofanya sisi ant Kagame tumekaa pembeni when the time comes we will hit big time. Yaani ni kama ushabiki wa simba na yanga hakuna kuhama timu. Ingawa Kagame ni yanga kama mimi lakini simupendiNimeanza kujiuliza kwamba wapo wapi wale wapinga Kagame ambao walikua wakichochea uhasama wa Tanzania na Rwanda kupitia Kikwete?
Watu hao walikua ni mafundi wa matusi kwa Kagame na Rwanda yake ilifikia kipindi wakawa wanatafsiri hadi picha za Ma-bodyguard kwamba ni kwa kiasi gani wale wa Tanzania hawamuamini Kagame. Lakini hivi sasa hali imebadirika kabisa, Magufuli na Kagame wameonyesha si tu kwamba wao ni viongozi wa nchi bali pia ni marafiki wanaoelewana na kila mmoja akimkubali mwenzake kiutendaji.
Anti Kagame wapo kimya either wamekosa au wamepoteza maneno ya kuongea. Hawaelewi waya shape vipi mawazo yao dhidi ya Kagame.
Huyo mtumia mirungi/milaa ndo hatupi shida, ni nyang'au tu huyo from the startHehehe!! Bora wabaki huko huko kwa Kagame....
Kwani matumizi ya mirungi yana ubaya gani. Sisi ni manyangau hamtuwezi, mbaki huko mkimzingua Kagame.Huyo mtumia mirungi/milaa ndo hatupi shida, ni nyang'au tu huyo from the start
empire!Nimeanza kujiuliza kwamba wapo wapi wale wapinga Kagame ambao walikua wakichochea uhasama wa Tanzania na Rwanda kupitia Kikwete?
Watu hao walikua ni mafundi wa matusi kwa Kagame na Rwanda yake ilifikia kipindi wakawa wanatafsiri hadi picha za Ma-bodyguard kwamba ni kwa kiasi gani wale wa Tanzania hawamuamini Kagame. Lakini hivi sasa hali imebadirika kabisa, Magufuli na Kagame wameonyesha si tu kwamba wao ni viongozi wa nchi bali pia ni marafiki wanaoelewana na kila mmoja akimkubali mwenzake kiutendaji.
Anti Kagame wapo kimya either wamekosa au wamepoteza maneno ya kuongea. Hawaelewi waya shape vipi mawazo yao dhidi ya Kagame.
Hiyo simupendi=Ni kama kiswahili cha nchi flani.Tupo na hatumwamini Kagame, tunaomba Rais wetu awe makini. Tunachofanya sisi ant Kagame tumekaa pembeni when the time comes we will hit big time. Yaani ni kama ushabiki wa simba na yanga hakuna kuhama timu. Ingawa Kagame ni yanga kama mimi lakini simupendi
Ha haaa nimecheka sana mkuu.hamtaki shoboHehehe!! Bora wabaki huko huko kwa Kagame....
Ilifikia mahali hata Lowasa alitukanwa na kushutumiwa kwamba ana ukaribu na Kagame na kwamba wana ajenda zao za siri dhidi yetu watanzania.Sasa hivi wale vijana wa Lumumba imebidi tu wamshangilie Kagame kwa kuwa hakuna namba nyingine tena.
khe! ndo mmeamua mtoke hivi?!Kuna mambo muhimu kwa masilahi ya taifa, Magufuli anaendeleza alipoishia Kikwete. Jambo ambalo lilionekana kutoweka hapo awali. Kuliweka karibu taifa la Rwanda ni muhimu zaidi kuliko uhusiano wa Kagame binafsi. Kwani kinachofanyika hapa ni mikakati ya kiuchumi baina ya mataifa haya mawili.