Wako wapi? Uliza walipo ujibiwe

Wako wapi? Uliza walipo ujibiwe

yaan wee mam nimecheka afu kwa sauti kubwa, kukonyezwa kwa beki 4 we ukasikitika.
Sema we inaonekana mtoto...humfahamu huyu baba...
1 anatisha balaa usoni .
2.ana kitambii ..Sasa mm kabeki 3 kangu kalikua slim balaa. Nkawaza Sana anataka Nini pale
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom