Kalosa
JF-Expert Member
- Feb 22, 2017
- 1,908
- 5,580
Chief naomba unitag akikujibu nahitaji kujifunza pia.Kwa hiyo ndio umenisaidia ngeli Mkuu? Nimekuomba lakini maana sie wengine ni elimu ya ngumbaru.
Nisaidie tu Mkuu wangu... nakuomba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chief naomba unitag akikujibu nahitaji kujifunza pia.Kwa hiyo ndio umenisaidia ngeli Mkuu? Nimekuomba lakini maana sie wengine ni elimu ya ngumbaru.
Nisaidie tu Mkuu wangu... nakuomba.
Mpango jeWakuu,
Nani ana taarifa za Mawaziri Philip Mpango na Kapteni John Mkuchika? Ni siku kadhaa hawajasikika.
Pia, mama yetu Salma Kikwete nasikia hajakanyaga katika viwanja vya Bunge.
We komaa na Kiswahili tu lugha yakoKwa hiyo ndio umenisaidia ngeli Mkuu? Nimekuomba lakini maana sie wengine ni elimu ya ngumbaru.
Nisaidie tu Mkuu wangu... nakuomba.
Kwani wapo wodi moja?Hata Le mutuz atakuwa na taarifa zao msake atakupa taarifa zao
Wakuu,
Nani ana taarifa za Mawaziri Philip Mpango na Kapteni John Mkuchika? Ni siku kadhaa hawajasikika.
Pia, mama yetu Salma Kikwete nasikia hajakanyaga katika viwanja vya Bunge.
Komenti limesimama kinyamwezi sana naiwe hivyo Mungu wa mbinguniE mungu sikia kilio chetu. Jpm amerunyima ajira sisi wanyonge tunasoma kwa taabu halafu wanapeana vyeo walewale waliokwishaajiriwa sisi tunakufa kwa utapia mlo. E mungu waue wote ili nasi tupate ajira. Jpm naye mreatishe in peace plz
SawaChadema
Nani anafuata?Sahizi unakaa unajiuliza sijui nani anafuata mimi au ww ila tunapitia kipind kigumu sana
Wapo ingawa wanaumwaWakuu,
Nani ana taarifa za Mawaziri Philip Mpango na Kapteni John Mkuchika? Ni siku kadhaa hawajasikika.
Pia, mama yetu Salma Kikwete nasikia hajakanyaga katika viwanja vya Bunge.
Wamemrudisha tena wodini jamani !!Mpango anapumulia mashine.
E mungu sikia kilio chetu. Jpm amerunyima ajira sisi wanyonge tunasoma kwa taabu halafu wanapeana vyeo walewale waliokwishaajiriwa sisi tunakufa kwa utapia mlo. E mungu waue wote ili nasi tupate ajira. Jpm naye mreatishe in peace plz
Mpango hajakoma tu amekaa bila barakoa wala tahadhari!!!!!! Kweli kusikia kwa kenge ni mpk damu zitoke sikioni,Dr. Mpango huyo hapo akiwa Dodoma Jana. Acheni kuzusha mambo nyieView attachment 1732768
its better& profitable time for our government leaders to come na kukuri corona ipo na sio kama wanvyopiga juu juu,vaeni barakoa n.k nakumbuka awamu ya kwanza uzito wake wa kutangaza presence of covid kulipunguza ongezeko lake na hatimaye tulishinda vita.wajeeeeWewe unataka tamko LA serikali kuna corona kama hufuati taratibu za kujikinga huwezi salimika,acha siasa za kijinga unazojazwa kwenye akili yako.NARUDIa...
Vaa barakoa
Nawa mikono na sabuni kwa maji tiririka
Tumia sanitizer
Epuka msongamano
Keep social distance
Kaa nyumbani kama hina safari ya ulazima
Hayo hapo juu sio Tina yatakusaidia wewe na uwaambie familia yako.
Kutangaziwa haiwezi kukusaidia kitu wewe kondoo