Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 102,675
- 126,904
Ngoja imlambe mama ako upate na akiliHujanijibu,akishatangaza IPO then what next?
Ngoja imlambe mama ako upate na akiliHujanijibu,akishatangaza IPO then what next?
Utapata akili soon mpuuzi ww, endelea kushangilia mautiKutangaza ndio solution? Acha ujinga,jikinge wewe mwenyew na familia yako,vaa barakoa,Nawa na maji tiririka tumia vipukutisha unataka nini kingine,utamkiwe tu Corona IPO?ili ufanyeje?
Mama yangu na baba yangu walishafariki,kila nafsi itaonja mauti.Ukiona MTU anaogopa kufa ujue no mtenda dhambi.Mkuu siogopi kufa siku ikifika ntakufa siwezi kuongeza hata nukta.kwa umri huo ulionao umepoteza watu wangapi?usiipende sana dunia mkuu.kutangaziwa corona IPO hakuwezi kuwa Tina,NARUDIa...vaa barakoa,nawa mikono kwa maji tiririka,timia sanitizer, keep social distance, omba mungu,epuka mikusanyiko isiyo ya lazima.Au tukuletee bango nyumbani kwako CORONA IPO Tanzania ushangilie?usishikiwe akili na wanasiasa kila MTU amepewa akili zake.Ngoja imlambe mama ako upate na akili
Wewe unataka tamko LA serikali kuna corona kama hufuati taratibu za kujikinga huwezi salimika,acha siasa za kijinga unazojazwa kwenye akili yako.NARUDIa...Kwa akili kama hizi ndio zinatusababishia vifo vya uzembe
Hahahahahaa hatr sanaMkuu unasena "tuta" kwani wew utakuwepo?
Hahahahahaa hatr sanaMkuu unasena "tuta" kwani wew utakuwepo?
Hahahahahaa hatr sanaMkuu unasena "tuta" kwani wew utakuwepo?
Ulikuwa wakwanza kuni quote,umeona sehemu niliku quote kabla yako?,jibu hoja acha kukimbilia moderators wakusaidie.learn to fight alone.Kumbe kazi yako ni kuquote watu alafu unakimbilia kwa modes?what a shame!.Mods hivi huyu yupo juu ya sheria anatukana na nimeripoti mara kibao lakini bado tu yupo huru?
Mmh? HahahahahahaJIOMBEE MWENYEWE BRO TAIFA LENYEWE LINAKUSIMAMIA ILI UFE..😕
Sasa kama yuko hoi na yale macho si atakuwa anatisha sana?Poleni sana.. Kwa taarifa tu wengi tu wapo hali mbaya.. Kabudi hoi
Hapa wachache watakuelewa.Kwani shisha siku hizi inanywewa hadharani?
Mkuchika ameonekana kwa mtandao akikabidhi gari kwa wajane wa Marehemu Aboud JumbeWakuu,
Nani ana taarifa za Mawaziri Philip Mpango na Kapteni John Mkuchika? Ni siku kadhaa hawajasikika.
Pia, mama yetu Salma Kikwete nasikia hajakanyaga katika viwanja vya Bunge.
Siasa na mazingaombwe dhidi ya tafiti za kisayansiIna maana hii haikusaidia ?View attachment 1705021View attachment 1705022
Ugonjwa Gani?Yaani Kuna watu kwa sababu ya uchu wa madaraka wanazani huu ugonjwa ni kwa ajili ya Wana CCM ni ushenzi usiokuwa na kifani tumuombe Mungu atuepushe na kikombe hiki.
Ndiyo nini? Kama hamjui Kiingereza si mkubali tu hamjui.One counted down................
sijui mkuu ndo najifunza naomba msaada.....Ndiyo nini? Kama hamjui Kiingereza si mkubali tu hamjui.