Jane Lowassa
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 4,741
- 8,441
Ulitaka kuandika nnsijui mkuu ndo najifunza naomba msaada.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitaka kuandika nnsijui mkuu ndo najifunza naomba msaada.....
Nilitaka kuandika kuwa ...mmoja kati ya hao wanaouliziwa amesharudisha namba........... nisaidie MkuuUlitaka kuandika nn
Tutaimba pambio moja tu mkuu, ni suala la muda tu😪Nilitaka kuandika kuwa ...mmoja kati ya hao wanaouliziwa amesharudisha namba........... nisaidie Mkuu
Banza stone atawaua wengi kwa maamuzi yake ya kibwege cabinet yake inaisha taratibu aagize chanjo Corona s ugonjwa wa kusadikika upo
Nna ndugu yangu n mbunge viti maalum ananiambia siyo plan tu list n kubwa ila ndio hvyo anashindwa kuongea
These are not "people"-as you seem to suggest. Hawa ni viongozi. Wanaishi kwa kodi zetu. Wanatuhusu! ndo maana hawajakuulizia wewe au mimi...sisi ni "wanyonge" kwa maelekezo maalum ya JPM. As long as unaishi kwa kodi za wengine. Maisha yako ni halali ya wanaokutunza.Small minds discuss people!
ChademaUgonjwa Gani?
PlanBanza stone atawaua wengi kwa maamuzi yake ya kibwege cabinet yake inaisha taratibu aagize chanjo Corona s ugonjwa wa kusadikika upo
Nna ndugu yangu n mbunge viti maalum ananiambia siyo plan tu list n kubwa ila ndio hvyo anashindwa kuongea
Kwani wao hawalipi kodi?,kama wanalipa fahamu wanajitunza wenyewe,wewe ni small mind tuThese are not "people"-as you seem to suggest. Hawa ni viongozi. Wanaishi kwa kodi zetu. Wanatuhusu! ndo maana hawajakuulizia wewe au mimi...sisi ni "wanyonge" kwa maelekezo maalum ya JPM. As long as unaishi kwa kodi za wengine. Maisha yako ni halali ya wanaokutunza.
Hana stress .anakula zabibu na samaki mjengoni kwake.Mizego Pinda amestaafu amepumzika shambani kwake Zuzu, Dodoma!
Mkuu Ulisoma Civics / Uraia au hata somo la siasa kipindi kile ?Kwani wao hawalipi kodi?,kama wanalipa fahamu wanajitunza wenyewe,wewe ni small mind tu
Umeeleweka vizuri kwa Kiswahili. InatoshaNilitaka kuandika kuwa ...mmoja kati ya hao wanaouliziwa amesharudisha namba........... nisaidie Mkuu
Kwa hiyo ndio umenisaidia ngeli Mkuu? Nimekuomba lakini maana sie wengine ni elimu ya ngumbaru.Umeeleweka vizuri kwa Kiswahili. Inatosha
Jamani tutapasuwa mishipi ya watu kwa presha. Tuwe waungwanaUmeeleweka vizuri kwa Kiswahili. Inatosha
kwani unateseka?Wakuu,
Nani ana taarifa za Mawaziri Philip Mpango na Kapteni John Mkuchika? Ni siku kadhaa hawajasikika.
Pia, mama yetu Salma Kikwete nasikia hajakanyaga katika viwanja vya Bunge.
kila kitu ni hapahapaPoleni sana.. Kwa taarifa tu wengi tu wapo hali mbaya.. Kabudi hoi
Huko bungeni ndiko jicho la kupikia changamoto ya upumuaji liliko!!Wakuu,
Nani ana taarifa za Mawaziri Philip Mpango na Kapteni John Mkuchika? Ni siku kadhaa hawajasikika.
Pia, mama yetu Salma Kikwete nasikia hajakanyaga katika viwanja vya Bunge.
kwahiyo jamaa arudi hukota giji?Unamaanisha tunarudia uchaguzi upya?