careenjibebe
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 1,604
- 1,646
Mmojawapo hapo yupo india anatibiwa pingili za mgongo
Nakuona unafurahia madhira yanapo wakuta watu.Ina maana hii haikusaidia ?View attachment 1705021View attachment 1705022
Kwani shisha siku hizi inanywewa hadharani?Wakuu,
Nani ana taarifa za Mawaziri Philip Mpango na Kapteni John Mkuchika? Ni siku kadhaa hawajasikika.
Pia, mama yetu Salma Kikwete nasikia hajakanyaga katika viwanja vya Bunge.
Soon tutaanza kuongea lugha moja ,relax mamy.Hizi ni dalili za uchawi. Mbona hujamuulizia Mizengo Pinda?
jamani sijui itakuwaje? acha niishie hapo.....
Dah! Yahani kama kweli wewe ni demu utakua kicheche haiwezekani wewe kila jukwaa upoHizi ni dalili za uchawi. Mbona hujamuulizia Mizengo Pinda?
Mashine nayo itachoka tu. Walifanya sana mizaha hawa watu acha tuone mwisho wakeMpango anapumulia mashine.
Huyu dawa ya Madagaska itamponya, ana maboksi kibao ya dawaPoleni sana.. Kwa taarifa tu wengi tu wapo hali mbaya.. Kabudi hoi
Yupo wapi mzee pindaHizi ni dalili za uchawi. Mbona hujamuulizia Mizengo Pinda?
Dr H Abas hali tete,
Kwakua sasa ipo kwa viongozi huenda kukawa na seriousness kwenye issue ya corona,viongozi wetu wamejisahau sana,wanaendesha nchi kibabe,hata kwenye maradhi nako wakaleta ubabe,
Kwakua mmekataa kufuata misingi ya gonjwa la korona ngoja tuone kama bado mtaendelea na misimamo yenu.
haiwezekani kwani vile vibotlo vya Madagascar alivotestigi vimedunda !!!???Poleni sana.. Kwa taarifa tu wengi tu wapo hali mbaya.. Kabudi hoi
Mkuchika yupo India
Mpango ni mtu safi sana. Mungu ampiganie sana.Namuombea kwa Mungu wangu wa kweli apate ahueni mapemaWakuu,
Nani ana taarifa za Mawaziri Philip Mpango na Kapteni John Mkuchika? Ni siku kadhaa hawajasikika.
Pia, mama yetu Salma Kikwete nasikia hajakanyaga katika viwanja vya Bunge.
Hata Le mutuz atakuwa na taarifa zao msake atakupa taarifa zaoMkuu nakuamini sana kwa taarifa