Wako wapi Kapteni Mkuchika, Dkt. Mpango na Salma Kikwete?

Wako wapi Kapteni Mkuchika, Dkt. Mpango na Salma Kikwete?

Huu mwaka naona utakuwa mrefu sana, mpaka december ifike...
Tumuombe Mungu, tuchukue tahadhari maana hatujui mimi na wewe lini. Serikali imetutenga, hakuna namna zaidi ya kujiongeza wenyewe!
 
Wananchi wanataabika viongozi pia wanataabika nchi inapitia kwenye matatizo makubwa wao wapo busy na budget linapotokea Jambo Kama hili vikao wangeairisha baada ya kujadili corona sasa na wao wamekosa maarifa wameweka posho mbele wanaangamiza Taifa...naamini Tanzania tusingepata madhara makubwa kama haya Kama tusingeudharau huu ugonjwa na mpaka sasa tunauchukulia poa huu upepo wa pili ni hatari kuliko maelezo serikali chukueni hatua hauna Wazee wala vijana...
 
Wakuu,

Nani ana taarifa za Mawaziri Philip Mpango na Kapteni John Mkuchika? Ni siku kadhaa hawajasikika.

Pia, mama yetu Salma Kikwete nasikia hajakanyaga katika viwanja vya Bunge.

Labda watakuwa wameji lockdown kama ambavyo mazwazwa kila siku wanavyodai kutushauri.

Labda wamechukua ushauri wa mazwazwa.

Mazwazwa mkiwamo, au nasema uongo ndugu zangu?
 
Wakuu,

Nani ana taarifa za Mawaziri Philip Mpango na Kapteni John Mkuchika? Ni siku kadhaa hawajasikika.

Pia, mama yetu Salma Kikwete nasikia hajakanyaga katika viwanja vya Bunge.
Tia maji tia maji bwashee.
 
Mambo Ni Magumu Sana
Yaani Sasa Hivi Tunakosa Hata Neno
 
Wawili wanaweza ( nakazia Wanaweza ) kuendelea kuitumikia dunia hii ( japo nao itategemeana ) ila kuna Mmoja ataachana nayo tu kwani wenye Hospitali yao huko aliko wamejitahidi na Kushindwa.
 
Wakati fulani inaonekana kama tunafurahia hii hali lakini kutokana na kupuuzwa huu ugonjwa na hawa tuliowapa dhamana naona bora ngoma ipige zaidi labda huenda serikali ikachukua hatua.
 
Kuna mtu katabiri vifo vya watu mashuhuri watatu, so mpaka hapo bado mmoja.
Anza Kutega Sikio lako katika maeneo haya matatu yangu tajwa ya Kijiografia tafadhali....

1. New Delhi ( Bombay ) India
2. Kigoma Tanzania
3. Chalinze / Lindi Tanzania

Mpaka sasa ni 50 / 50 kuwa nao au wao kutuacha.
 
Nenda Muhimbili Hospital kwenye wodi ya wagonjwa wa "KUPUMUA KWA TABU" kawaulizie. Au piga simu katika Wizara zao za kazi kupata taarifa zao.
E mungu sikia kilio chetu. Jpm amerunyima ajira sisi wanyonge tunasoma kwa taabu halafu wanapeana vyeo walewale waliokwishaajiriwa sisi tunakufa kwa utapia mlo. E mungu waue wote ili nasi tupate ajira. Jpm naye mreatishe in peace plz
 
Back
Top Bottom