Jackal
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 9,513
- 12,600
Duh hii post ilikuwa kabla ya Jiwe!Kuna mtu katabiri vifo vya watu mashuhuri watatu, so mpaka hapo bado mmoja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh hii post ilikuwa kabla ya Jiwe!Kuna mtu katabiri vifo vya watu mashuhuri watatu, so mpaka hapo bado mmoja.
Ni wazima kabisa wanachapa kazi zao kama kawaida.Tumezungumza nao kwenye simu,leo hii.Mbona humuulizii MatonyaWakuu,
Nani ana taarifa za Mawaziri Philip Mpango na Kapteni John Mkuchika? Ni siku kadhaa hawajasikika.
Pia, mama yetu Salma Kikwete nasikia hajakanyaga katika viwanja vya Bunge.
Nami nitauliziwa nilipo hivihivi kama hawa Watanzania wenzetu.Wewe unajua kesho utakuwa wapi?
Unaujua ubishi wa Kiha wewe?Mpango hajakoma tu amekaa bila barakoa wala tahadhari!!!!!! Kweli kusikia kwa kenge ni mpk damu zitoke sikioni,
Ukifanya makubaliano na wahuni ujue imekula kwako.Lipumba ana hasira alipewa ahadi hewa ya viti ishirini vya Ubunge,siku hizi anakomaa na Tume Huru na Katiba Mpya tu.
Huyu kabudi anapaswa kupigwa made. Ni professor anayeishi kiupambeupambe sanaIna maana hii haikusaidia ?View attachment 1705021View attachment 1705022
kwa lugha mpya wanaitwa ChawaHuyu kabudi anapaswa kupigwa made. Ni professor anayeishi kiupambeupambe sana
There is neither need to have opposition nor pro regime ideology; we better as a nation collectively agree to merge a hybrid political administration rather than politicians who are the source of criminality and adversary between the brotherhood.Wakuu,
Nani ana taarifa za Mawaziri Philip Mpango na Kapteni John Mkuchika? Ni siku kadhaa hawajasikika.
Pia, mama yetu Salma Kikwete nasikia hajakanyaga katika viwanja vya Bunge.