Wako wapi Kapteni Mkuchika, Dkt. Mpango na Salma Kikwete?

Wako wapi Kapteni Mkuchika, Dkt. Mpango na Salma Kikwete?

Wakuu,

Nani ana taarifa za Mawaziri Philip Mpango na Kapteni John Mkuchika? Ni siku kadhaa hawajasikika.

Pia, mama yetu Salma Kikwete nasikia hajakanyaga katika viwanja vya Bunge.
Wako bize wakipiga nyungu na kunywa limau kwa wingi. La sivyo, muulize aliyewapa madaraka.
 
Wakuu,

Nani ana taarifa za Mawaziri Philip Mpango na Kapteni John Mkuchika? Ni siku kadhaa hawajasikika.

Pia, mama yetu Salma Kikwete nasikia hajakanyaga katika viwanja vya Bunge.
Ongezea na Palamagamba Kabudi
 
Je Raisi akitangaza Tanzania kuna Corona, then what next?
 
Yaani Kuna watu kwa sababu ya uchu wa madaraka wanazani huu ugonjwa ni kwa ajili ya Wana CCM ni ushenzi usiokuwa na kifani tumuombe Mungu atuepushe na kikombe hiki.
Ukiona tumefika huku anza kumtafuta nani katufikisha huku,awamu ya tano wanafikiri hata umoja wa kitaifa nao unaletwa kwa mabavu,nchi ipo vipandevipande.
 
Wakuu,

Nani ana taarifa za Mawaziri Philip Mpango na Kapteni John Mkuchika? Ni siku kadhaa hawajasikika.

Pia, mama yetu Salma Kikwete nasikia hajakanyaga katika viwanja vya Bunge.
Mkuchika ni kiongozi bora kabisa ndani ya utawala wa dikteta
 
Wakuu,

Nani ana taarifa za Mawaziri Philip Mpango na Kapteni John Mkuchika? Ni siku kadhaa hawajasikika.

Pia, mama yetu Salma Kikwete nasikia hajakanyaga katika viwanja vya Bunge.
Pitia Social media kila Mara utajua wako wapi
 
Kuficha ndiyo solution?
Kutangaza ndio solution? Acha ujinga,jikinge wewe mwenyew na familia yako,vaa barakoa,Nawa na maji tiririka tumia vipukutisha unataka nini kingine,utamkiwe tu Corona IPO?ili ufanyeje?
 
Tuwaombee hawa wazee wetu Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi[emoji120]
 
Kutangaza ndio solution? Acha ujinga,jikinge wewe mwenyew na familia yako,vaa barakoa,Nawa na maji tiririka tumia vipukutisha unataka nini kingine,utamkiwe tu Corona IPO?ili ufanyeje?
Kwa akili kama hizi ndio zinatusababishia vifo vya uzembe
 
Back
Top Bottom