Wako wapi Kapteni Mkuchika, Dkt. Mpango na Salma Kikwete?

Wako wapi Kapteni Mkuchika, Dkt. Mpango na Salma Kikwete?

6.jpg
 
Poleni sana.. Kwa taarifa tu wengi tu wapo hali mbaya.. Kabudi hoi
Dr H Abas hali tete,
Kwakua sasa ipo kwa viongozi huenda kukawa na seriousness kwenye issue ya corona,viongozi wetu wamejisahau sana,wanaendesha nchi kibabe,hata kwenye maradhi nako wakaleta ubabe,
Kwakua mmekataa kufuata misingi ya gonjwa la korona ngoja tuone kama bado mtaendelea na misimamo yenu.
Waswahili husema, kiendacho hurejea. Mwanzoni corona ilipiga "miguu" tukasema siyo corona ila ni watu wanajikwaa barabarani ,ila wengi walibadili anuani zao. Wimbi lile limerudi kwa kasi ya aina yake, kwa sasa likiwa linapiga kuanzia miguuni na linapanda kuelekea kichwani,kwa sasa "mtoa majibu" nae hakai , halali, hewa imekuwa ngumu kama jiwe ila anasingizia udogo wa pua.
Yule "nzi" anayekataa kusikia, huzikwa pamoja na "mzoga".
 
Wakuu,

Nani ana taarifa za Mawaziri Philip Mpango na Kapteni John Mkuchika? Ni siku kadhaa hawajasikika.

Pia, mama yetu Salma Kikwete nasikia hajakanyaga katika viwanja vya Bunge.
Kikwete naye mjinga msiba wa Corona unampeleka mke wako huko sasa Mama hoi
 
Mbona Leo nimemuona
Tumewazoea mnajua sana kulazimisha,eti corona mmeibadilisha jina manaiita nimonia kali, mtu anakufa kwa korona ninyi mnasema ajali ya gari,ubaya wa corona ya sasa hata kama utapewa huduma first class bado utaondoka.

Tunawasikia mnavyohonga mpatiwe ventilator huko mahospitalini lakini mwisho wa siku mnaondoka.

Acheni mzaha na uhai wa watanzania,wekezeni kwenye mapambano ya corona vinginevyo ipo siku tutaamka na wimbo wa taifa ndipo akili zitawakaa.

Kwani mkiwaambia watu kwamba Tanzania hali ya corona ni mbaya mnahisi aibu gani?Acheni mzaha kwani hii corona ya sasa imeboreshwa.

Simamieni misiba kama awali,marehemu waliokufa kwa corona mnawaachia watu wazike holela pasipo usimamizi wa watu wa afya kimekuwa chanzo kikubwa chakusambaa corona,

Kwenye vyombo vya usafiri hakuna msisitizo wowote wa social distance,daladala ni mchongoma kama kawaida,michozoni huko viwanjani ni mbanano,tambueni mnaua watu.

Zile kampeni za maji tiririka mmezisitisha kabisa,vyombo vya habari vipo kimya vinaogopa sheria zenu kandamizi,havishawishi wala kuongea chochote kuhusu corona vinaogopa mtavifungia,nakumbuka clouds walikuwa wahamisishaji wazuri Sana kwenye kampeni za corona kama kuelimisha kuhusu social distance,maji tiririka.

Hii corona si nzuri mkifanya mzaha kuna siku tutaamshwa na wimbo wa Taifa.Sera za Sasa za nchi yetu kuhusu corona zinatumaliza,plz mh raisi kumbuka ule usemi usemao "mficha maradhi kifo humuumbua"

Corona ni corona na nimonia kali nayo ni kitu nyingine.
 
Mliopo huko Dar mtafuteni mtu anaitwa sele 0787132277 au 0715132277 anazo taarifa zote za viongozi wanaougua covid 19 atawapa list, ukikosa mda wa kuonana nae mpigie simu muulize habari zote
Dah! Humtakii mema Sele.
 
Kwakifupi covid imetinga ikulu.Kama KMK kaondoka bara na Makamu wa rais visiwan possibly hata mabos zao wako kwenye hali mbaya
 
H
Anza Kutega Sikio lako katika maeneo haya matatu yangu tajwa ya Kijiografia tafadhali....

1. New Delhi ( Bombay ) India
2. Kigoma Tanzania
3. Chalinze / Lindi Tanzania

Mpaka sasa ni 50 / 50 kuwa nao au wao kutuacha.
Hadi Salma wa Seya?
 
Anza Kutega Sikio lako katika maeneo haya matatu yangu tajwa ya Kijiografia tafadhali....

1. New Delhi ( Bombay ) India
2. Kigoma Tanzania
3. Chalinze / Lindi Tanzania

Mpaka sasa ni 50 / 50 kuwa nao au wao kutuacha.
Kuna wa Oman ya Tanzania pia.
 
Yaani Kuna watu kwa sababu ya uchu wa madaraka wanazani huu ugonjwa ni kwa ajili ya Wana CCM ni ushenzi usiokuwa na kifani tumuombe Mungu atuepushe na kikombe hiki.
 
Wakuu,

Nani ana taarifa za Mawaziri Philip Mpango na Kapteni John Mkuchika? Ni siku kadhaa hawajasikika.

Pia, mama yetu Salma Kikwete nasikia hajakanyaga katika viwanja vya Bunge.
Mkuchika yupo India kwa matibabu
 
Back
Top Bottom