Wakinga kwa fasheni hawajambo

Wakinga kwa fasheni hawajambo

Masharti kaka, bora uwe kituko Lakini uwe na Pesa ndivyo wanavyoamini Pesa kwanza
 
Hata Bulongwa wapo wakinga hao unaowataja ni sehemu ndogo sana
Kwa Bulongwa Wamahanji ni wengi zaidi ila kwa Wilaya kweli ni Wakinga wengi zaidi ya 50%.
Jumlisha Wamagoma na Wawanji.
 
Yeye mwenyewe ni Mkinga wa Unenamwa,mti wenye matunda hupigwa mawe.
halafu mimi huwa nawashangaa sana wanaowashikia bango la uchawi wakinga. Hivi vituko vyote vya uchawi sijawahi kusikia kituko chochote kutoka Makete nasikia tu Sumbawanga, Songea, Tabora n.k hebu nisimulieni tukio moja la kishirikina kutoka ukinga...lilolosikika kwenye vyombo vya habari sio ulilosimuliwa na jirani yako mwenye wivu wa kimaskini
 
halafu mimi huwa nawashangaa sana wanaowashikia bango la uchawi wakinga. Hivi vituko vyote vya uchawi sijawahi kusikia kituko chochote kutoka Makete nasikia tu Sumbawanga, Songea, Tabora n.k hebu nisimulieni tukio moja la kishirikina kutoka ukinga...lilolosikika kwenye vyombo vya habari sio ulilosimuliwa na jirani yako mwenye wivu wa kimaskini
Wanatusema kwasababu tunatafuta sana pesa na tunazipata,mti wenye matunda hupigwa mawe.
 
16265361_1310441725692932_2698999043349455171_n.jpg

Sanga akienda kwa Mwakipande kuchukua dawa za utajiri
 
Hii post yako ya chini umeongea kama vile Bulongwa hakuna wakinga kabisa kitu ambacho sio kweli
Babu zetu wanatusimulia kuwa Wakinga walikuja Bulongwa kutafuta maisha na kupora baadhi maeneo yetu,ni sawa na wageni tu ila miaka mingi imepita na wamekuwa wenyeji.
 
Back
Top Bottom