Wakina Dada Embu Acheni Hii Tabia...Inakera Mno

Wakina Dada Embu Acheni Hii Tabia...Inakera Mno

.... Raising the bar, umethubutu kutafuta mchumba 'great thinker,' kubali box zote ziwe ticked!
 
Habari wana great thinkers,kuna katabia au tabia ambayo wanayo wakina dada wa humu jf ambayo sio nzuri na inaweza ikawafikisha pabaya.Siku kama tano zilizopita nilipost thread ya kutafuta mchumba na Mungu si athuman akatokea dada mmoja akani PM namba yake na tukapata kufahamiana kiasi flani.Tatizo linakuja pale ambapo kila nikipiga nae story analazimisha kujua kazi yangu na nalipwa kiasi gani kwa mwezi,alinichosha zaidi pale aliponiuliza kama nina gari au la..apo nilichoka kabisa na kukosa hamu hata ya kuzungumza nae...Je hii ni sahihi kwa wanavyotufanyia hawa dada zetu?

Maadamu umeamua kuja humu kutafuta machumba, basi kubali pia majibu utakayo pata. Si lazima majibu yote yawe ya kukufurahisha.
 
Maadamu umeamua kuja humu kutafuta machumba, basi kubali pia majibu utakayo pata. Si lazima majibu yote yawe ya kukufurahisha.

Hakika ndugu mana majibu mengine dooooh...wengine wametoka usingizini na kuanza ku comment
 
Unapoamua kula kunde, kubali pia mashuzi
 
sista duu wa MJini mshahara laki 2 na nusu anamiliki Iphone 5,pochi ya laki 3,viatu laki 1 na nusu alafu jumapili anaenda kumuomba Mungu amtendèe Miujiza wakati yeye mwenyewe kashatenda tayari.. :-D
 
sista duu wa MJini mshahara laki 2 na nusu anamiliki Iphone 5,pochi ya laki 3,viatu laki 1 na nusu alafu jumapili anaenda kumuomba Mungu amtendèe Miujiza wakati yeye mwenyewe kashatenda tayari.. :-D

Umeona eeeeh...yani wana tamaa sana hawa dada zetu na ndio maana mwisho wao unakuaga mbaya wanaambulia kupata maradhi yasiyo na tiba hatimaye kaburini.
 
Habari wana great thinkers,kuna katabia au tabia ambayo wanayo wakina dada wa humu jf ambayo sio nzuri na inaweza ikawafikisha pabaya.Siku kama tano zilizopita nilipost thread ya kutafuta mchumba na Mungu si athuman akatokea dada mmoja akani PM namba yake na tukapata kufahamiana kiasi flani.Tatizo linakuja pale ambapo kila nikipiga nae story analazimisha kujua kazi yangu na nalipwa kiasi gani kwa mwezi,alinichosha zaidi pale aliponiuliza kama nina gari au la..apo nilichoka kabisa na kukosa hamu hata ya kuzungumza nae...Je hii ni sahihi kwa wanavyotufanyia hawa dada zetu?

Sasa ulikuwa hutaki akujuwe ulivyo? unatangaza kuoa halafu unaulizwa vitu vya msingi unashindwa kuwa mkweli. Kalagabaho.
 
Do u know how am living?me nina uwezo wa kukumiliki wewe pamoja na uyo bwana wako mkala vizuri,mkalala pazuri halikadhalika na kwenda chooni kutoa takataka za tumboni kwenu so u better watch ur fu**in mouth...I have never come across with such a mother*****in bi**h like u.wewe utabaki kuwa mpoke pe**s inside your 0714 for the rest of ur life

Ha ha ha naona nimekupanikisha........
wala usinune bana wewe, take it easy haya mambo ya kawaida weye matusi ya nini!!!!
mbona umekomalia swala la tigo?????
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom