Wakina Dada Embu Acheni Hii Tabia...Inakera Mno

Wakina Dada Embu Acheni Hii Tabia...Inakera Mno

lazima ukae

JF-Expert Member
Joined
May 15, 2013
Posts
791
Reaction score
417
Habari wana great thinkers,kuna katabia au tabia ambayo wanayo wakina dada wa humu jf ambayo sio nzuri na inaweza ikawafikisha pabaya.Siku kama tano zilizopita nilipost thread ya kutafuta mchumba na Mungu si athuman akatokea dada mmoja akani PM namba yake na tukapata kufahamiana kiasi flani.Tatizo linakuja pale ambapo kila nikipiga nae story analazimisha kujua kazi yangu na nalipwa kiasi gani kwa mwezi,alinichosha zaidi pale aliponiuliza kama nina gari au la..apo nilichoka kabisa na kukosa hamu hata ya kuzungumza nae...Je hii ni sahihi kwa wanavyotufanyia hawa dada zetu?
 
Habari wana great thinkers,kuna katabia au tabia ambayo wanayo wakina dada wa humu jf ambayo sio nzuri na inaweza ikawafikisha pabaya.Siku kama tano zilizopita nilipost thread ya kutafuta mchumba na Mungu si athuman akatokea dada mmoja akani PM namba yake na tukapata kufahamiana kiasi flani.Tatizo linakuja pale ambapo kila nikipiga nae story analazimisha kujua kazi yangu na nalipwa kiasi gani kwa mwezi,alinichosha zaidi pale aliponiuliza kama nina gari au la..apo nilichoka kabisa na kukosa hamu hata ya kuzungumza nae...Je hii ni sahihi kwa wanavyotufanyia hawa dada zetu?

Mjini hapa mkuu watu hawajaja kuangalia magorofa
 
tatizo unatafuta mwanamke wa barabarani, kuna aina mbili ya wanawake 1. wa nyumbani 2. wa barabarani. mwanamke wa barabarani kamwe hawezi kuwa wa nyumbani , ila wa nyumbani anaweza kuingia barabarani upo hapo, ipo siku utakutana na jini shauri yako
 
Habari wana great thinkers,kuna katabia au tabia ambayo wanayo wakina dada wa humu jf ambayo sio nzuri na inaweza ikawafikisha pabaya.Siku kama tano zilizopita nilipost thread ya kutafuta mchumba na Mungu si athuman akatokea dada mmoja akani PM namba yake na tukapata kufahamiana kiasi flani.Tatizo linakuja pale ambapo kila nikipiga nae story analazimisha kujua kazi yangu na nalipwa kiasi gani kwa mwezi,alinichosha zaidi pale aliponiuliza kama nina gari au la..apo nilichoka kabisa na kukosa hamu hata ya kuzungumza nae...Je hii ni sahihi kwa wanavyotufanyia hawa dada zetu?

Ningekuwa mimi ningefurahi kuulizwa hayo maswali matatu niliyobold hapo juu, maana yanatosha kabisa kukufahamisha kama huyo ni wife material au laaa! Inawezekana kwake, pesa mbele, mapenzi yanafuata! Kwa hiyo kama unatafuta mke kwa maana ya mke, nafikiri jibu unalo ila kama unatafuta kiburudisho naona pia jibu unalo, huwezi kuwa na kiburudisho cha maana kama huna hivyo vitatu nilivyobold hapo juu!!!
 
wewe akikuuliza una gari nawe muulize una uzuri mwenye kustahili kuwa na mwanaume mwenye gari?
ladies have to belrealistic...kuna wanawake wakuhongwa magari na wanawake wa chips kuku...so jiangalie kwanza uzuri wako ukoje
 
Ningekuwa mimi ningefurahi kuulizwa hayo maswali matatu niliyobold hapo juu, maana yanatosha kabisa kukufahamisha kama huyo ni wife material au laaa! Inawezekana kwake, pesa mbele, mapenzi yanafuata! Kwa hiyo kama unatafuta mke kwa maana ya mke, nafikiri jibu unalo ila kama unatafuta kiburudisho naona pia jibu unalo, huwezi kuwa na kiburudisho cha maana kama huna hivyo vitatu nilivyobold hapo juu!!!

Hakika
 
Mkuu tafuta kwanza Mkwanja! Wanawake watakushobokea mpaka utawakimbia mwenyewe. Hautakuwa na haja ya kuja kutafuta mchumba apa JF
 
wewe akikuuliza una gari nawe muulize una uzuri mwenye kustahili kuwa na mwanaume mwenye gari?
ladies have to belrealistic...kuna wanawake wakuhongwa magari na wanawake wa chips kuku...so jiangalie kwanza uzuri wako ukoje

Kweli kabisa ndugu..upo sahihi kabisa
 
Habari wana great thinkers,kuna katabia au tabia ambayo wanayo wakina dada wa humu jf ambayo sio nzuri na inaweza ikawafikisha pabaya.Siku kama tano zilizopita nilipost thread ya kutafuta mchumba na Mungu si athuman akatokea dada mmoja akani PM namba yake na tukapata kufahamiana kiasi flani.Tatizo linakuja pale ambapo kila nikipiga nae story analazimisha kujua kazi yangu na nalipwa kiasi gani kwa mwezi,alinichosha zaidi pale aliponiuliza kama nina gari au la..apo nilichoka kabisa na kukosa hamu hata ya kuzungumza nae...Je hii ni sahihi kwa wanavyotufanyia hawa dada zetu?

Mambo mengine mnajitakiaga tu.....
huko kooote ulikotembea hukuona wanawake hadi uje huku
mapenzi ya mitandaoni ni 50/50
 
  • Thanks
Reactions: awp
maadili yetu watanzania yamepungua ndio sababu ndoa nyingi hazidumu. wanawake wasiokuwa na maadili wanapenda vitu kama magari na pesa.
 
Habari wana great thinkers,kuna katabia au tabia ambayo wanayo wakina dada wa humu jf ambayo sio nzuri na inaweza ikawafikisha pabaya.Siku kama tano zilizopita nilipost thread ya kutafuta mchumba na Mungu si athuman akatokea dada mmoja akani PM namba yake na tukapata kufahamiana kiasi flani.Tatizo linakuja pale ambapo kila nikipiga nae story analazimisha kujua kazi yangu na nalipwa kiasi gani kwa mwezi,alinichosha zaidi pale aliponiuliza kama nina gari au la..apo nilichoka kabisa na kukosa hamu hata ya kuzungumza nae...Je hii ni sahihi kwa wanavyotufanyia hawa dada zetu?
Blue Huilo swali sawa yaani maana yake badala ya kujisumbua kutafuta mke wewe anza kutafuta kazi kwanza, sawa kabisa. Red Mwambie unalo halafu uje nikuazimishe analonioazimishaga mjomba. Vinginevyo utaendelea kushika bomba mpaka juzi asubuhi.
 
Last edited by a moderator:
Ni sahihi kwa sababu wanakuonyesha vitu muhimu kwao kwa uwazi.

Wewe ulitaka muimbishane na kugundua baadaye kwamba hamko compatible?

Ulitaka kudanganywa kwamba hawapendi gari na pesa wakati wanapenda?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom