Wakina Dada Embu Acheni Hii Tabia...Inakera Mno

Wakina Dada Embu Acheni Hii Tabia...Inakera Mno

Mpwa wangu, pole sana kwa yaliyokukuta, hata hivyo hio ni changamoto ndogo sana huyo binti kawa mkweli sana. Kuulizwa vitu hivyo ni suala la kawaida sana na ni muwazi vya kutosha sana, tatizo lako umeaminishwa kuwa kila mwanamke atakachouliza hasa akiuliza vitu kama hivyo basi huyo ni Malaya, No No no, anataka apime jinsi unavyojituma. Si kweli kwamba eti kila kitu lazima muanze at ground zero mnapooana, labda mwenzio ana mshahara mzuri, ana gari zuri. Anataka ajue uko focused kiasi gani. Laiti ningempata huyo, ningemuoa fasta.
Ningefurahi zaidi kama ungeichukulia changamoto hio kwa upande ambao ni positive kuliko huko ulikopelekea mawazo. Nawapenda sana akina Dada wa namna hii, KWELI ITAKUWEKA HURU.
CC Dada zangu Wapendwa Aine Paloma Little Angel Mamndenyi bila kuwasahau na Wapwa zangu saudari na Sosoliso na Mwanakwaya maarufu ladyfurahia
 
Last edited by a moderator:
Elli unampa pole kwani kakosewa nini
hata lile tangazo linasema umejipanga panga je

Pole lakini.

Mpwa wangu, pole sana kwa yaliyokukuta, hata hivyo hio ni changamoto ndogo sanam huyo binti kawa mkweli sana. Kuulizwa vitu hivyo ni suala la kawaida sana na ni muwazi vya kutosha sana, tatizo lako umeaminishwa kuwa kila mwanamke atakachouliza hasa akiuliza vitu kama hivyo basi huyo ni Malaya, No No no, anataka apime jinsi unavyojituma. Si kweli kwamaba reti kila kitu lazima muanze ground zero mnapoona, labda mwenzio ana mshahara mzuri, ana gari zuri. Anataka ajue uko focused kiasi gani. Laiti ningempata huyo, ningemuoa fasta.

Ningefurahi zaidi kama ungeichukulia changamoto hio kwa upande ambao ni positive kuliko huko ulikopelekea mawazo. Nawapenda sana akina Dada wa namna hii, KWELI ITAKUWEKA HURU.
CC Dada zangu Wapendwa Aine Paloma Little Angel Mamndenyi bila kuwasahau na Wapwa zangu saudari na Sosoliso na Mwanakwaya maarufu ladyfurahia
 
Last edited by a moderator:
Habari wana great thinkers,kuna katabia au tabia ambayo wanayo wakina dada wa humu jf ambayo sio nzuri na inaweza ikawafikisha pabaya.Siku kama tano zilizopita nilipost thread ya kutafuta mchumba na Mungu si athuman akatokea dada mmoja akani PM namba yake na tukapata kufahamiana kiasi flani.Tatizo linakuja pale ambapo kila nikipiga nae story analazimisha kujua kazi yangu na nalipwa kiasi gani kwa mwezi,alinichosha zaidi pale aliponiuliza kama nina gari au la..apo nilichoka kabisa na kukosa hamu hata ya kuzungumza nae...Je hii ni sahihi kwa wanavyotufanyia hawa dada zetu?
sasa wewe unatafuta mchumba unaficha shida zako. wewe unavigezo vyako na yeye ana vyake. tena wewe ndio unatabia mbaya maana kitendo cha yeye kukueleza vigezo vya ukakimbia JF kulalamika wewe ni msaliti ulitakiwa kumueleza yeye kuwa vigezo vyako siwezi kuvivulia kila hivyo hatuwezi kuwa wote. kama kila ambaye angetongoza akakuta anachokitafuta sicho angekimbilia kupayuka hivi tungefika?
 
Mshauri tu akajipange vizuri
vinginevyo ajaribu tena mitaa ya uswazi
huku kwenye .com wote wanaelewa
hakuna wa kumlalia.
kaandika kwa uchungu sana sana, alidhani ameshapata kumbe kapatikana, pole zake tena Mpwa'ngu
 
Jamani hii issue iko wazi "nature ya mwanamke ni kuhitaji security kutoka kwa mwanaume ndo walivoumbwa hivyo " na tunaelewa security ya siku hizi ni pesa sio manguvu kama zamani, pesa inakupa vitu kibao, imagine aumwe usiku si utahitaji pesa au gari?? Huyo mwanamke ana akili sana, huwezi kupendwa hivi hivi lazima kiwepo kitu extra kuwazidi wenzio otherwise angependwa mtu yeyote,, so kuwa makini we unataka akupendee nn??
 
hivi wewe aliyekudanganya mchumba au mke mwema anatoka jf ni nani na nani amekuloga wewe mke mwema anatoka kwa Bwana na sio jf humu ni kuzinguana tu hakuna chochote mdogo wangu, wewe mwombe Mungu atakupa yeye atokaye kwake nawe utafurahia siku zote za maisha yako na utakuwa mwenye furaha wakati wote, epuka wachumba, au wake wa mtandaoni ni hatari sana, mngoje na mtumaini na mtegemee Mungu atakutokea tu ipo siku utafurahi sana tena sana ila pole kwa yaliyokukuta bestito
Habari wana great thinkers,kuna katabia au tabia ambayo wanayo wakina dada wa humu jf ambayo sio nzuri na inaweza ikawafikisha pabaya.Siku kama tano zilizopita nilipost thread ya kutafuta mchumba na Mungu si athuman akatokea dada mmoja akani PM namba yake na tukapata kufahamiana kiasi flani.Tatizo linakuja pale ambapo kila nikipiga nae story analazimisha kujua kazi yangu na nalipwa kiasi gani kwa mwezi,alinichosha zaidi pale aliponiuliza kama nina gari au la..apo nilichoka kabisa na kukosa hamu hata ya kuzungumza nae...Je hii ni sahihi kwa wanavyotufanyia hawa dada zetu?
 
Heeeh we ulitaka uulizwe nini?
Vigezo na masharti kuzingatiwa.

Kama nyie mnavyowekaga vigezo vyenu na wao wana vya kwao vya kuangalia.
If you don't fall within . . . unachapa lapa/unafikiriwa zaidi.

Au kama vipi, geukia upande mwingine basi ukiona hujapendezwa.
 
sijaona ujinai wa hayo maswali, sasa kwa nini asikuulize? maswali ya kawaida tuu hayo.
 
Habari wana great thinkers,kuna katabia au tabia ambayo wanayo wakina dada wa humu jf ambayo sio nzuri na inaweza ikawafikisha pabaya.Siku kama tano zilizopita nilipost thread ya kutafuta mchumba na Mungu si athuman akatokea dada mmoja akani PM namba yake na tukapata kufahamiana kiasi flani.Tatizo linakuja pale ambapo kila nikipiga nae story analazimisha kujua kazi yangu na nalipwa kiasi gani kwa mwezi,alinichosha zaidi pale aliponiuliza kama nina gari au la..apo nilichoka kabisa na kukosa hamu hata ya kuzungumza nae...Je hii ni sahihi kwa wanavyotufanyia hawa dada zetu?

Mkuu huyo mshukuru sana, amekuwa muwazi asubuhi kabisa. Nimemkubali huyo dada amekusaidia ufanye uamuzi sahihi.

Lakini tumsubiri na yeye atakuja tu kwa staili yake kukuponda na kueleza jinsi ulivyokuwa unaboa kwenye maongezi sidhani kama atavumilia mpaka mwisho, mimi namsubiria na yeye ili tuwe na stori kamili, si ajabu na wewe ulikuwa unamuuliza maswali ya kiboya akaamua akumwage kwa staili hiyo
 
Shobo za magari ndo zinazowaponza mabinti mpaka wazungu wanawatenda vibaya tena na wanyama...we gari langu linakuhusu nini..mbona we ata kazi yenyewe huna...Unataka unufaike kupitia mgongo wangu...nyambaaaaf
 
wewe akikuuliza una gari nawe muulize una uzuri mwenye kustahili kuwa na mwanaume mwenye gari?
ladies have to belrealistic...kuna wanawake wakuhongwa magari na wanawake wa chips kuku...so jiangalie kwanza uzuri wako ukoje

OP: Nimekumic best yangu...
 
Hamna ndugu yangu,sometimes tuna post thread za kutafuta wachumba ili kujua mentality za dada zetu na kujua vitu wanavyovipa first priority..Me nina mke na mtoto mmoja sho sikuwa nikihitaji wife kiukweli coz am happy with my family

una mke na bado unasema unapost watafuta mchumba? na unadai unaangalia mentallity ya mabinti? hiyo inakusaidia nini? kama angekukubali ungesema hayo? mhhh....!
 
He he he, nimetamani kusema kitu, ila bhaas tu

wewe akikuuliza una gari nawe muulize una uzuri mwenye kustahili kuwa na mwanaume mwenye gari?
ladies have to belrealistic...kuna wanawake wakuhongwa magari na wanawake wa chips kuku...so jiangalie kwanza uzuri wako ukoje
 
una mke na bado unasema unapost watafuta mchumba? na unadai unaangalia mentallity ya mabinti? hiyo inakusaidia nini? kama angekukubali ungesema hayo? mhhh....!

Madem wa mtandaoni sina interest nao kabisa kabisa...u better know that
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom