Rare Sapphire
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 576
- 1,625
Madeleka akisoma sehemu ya kipande cha mkataba uliosaniwa Rais Samia, ambapo kipande hicho kinasema Rais Samia ametoa mamlaka yake kwa Mbarawa kusaini mkataba kwa niaba ya Tanzania na Dudai wakati Samia sio Rais wa Dubai, na kwamba Rais Samia kasahau kwamba mamlaka yake ni kwenye mipaka ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pekee na sio Dubai.