Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,604
Hii nayo ni sheeedar!!!!!!!
Utakuta watu walikuwa marafiki sana kipindi cha nyuma,wamesoma wote, wamecheza wote lakini kimbembe huja pale wakikutana Dar.
Hapa nazungumzia wale wenzangu na mie ambao Dar tumekuja tayari tumeshaota Ma..vuzi na ndevu. Yaani tumekuja na mbio za Mwenge au Gari la kabichi.
Yaani mtu mliyekuwa mnafahamiana vizuri kabisa, siku mnakutana nae mlimani city
either:
-Atakupita kama hakujui
-Kukuuliza kama nimeshawahi kukuona sehem ila sikumbuki ni wapi
-Anakuuliza hivi wewe sindio unaitwa Jumanne wakati anafahamu fika kuwa unaitwa Joshua
-nk.....nk....nk.....nk.....nk
SWALI LANGU: Kwanini hii situation hutokea watu wakikutana Dar tu?
Mbona tukikutana mikoa mingine huwa tunakumbukana vizuri tu? Au ndio uzuzu wa jiji?
Utakuta watu walikuwa marafiki sana kipindi cha nyuma,wamesoma wote, wamecheza wote lakini kimbembe huja pale wakikutana Dar.
Hapa nazungumzia wale wenzangu na mie ambao Dar tumekuja tayari tumeshaota Ma..vuzi na ndevu. Yaani tumekuja na mbio za Mwenge au Gari la kabichi.
Yaani mtu mliyekuwa mnafahamiana vizuri kabisa, siku mnakutana nae mlimani city
either:
-Atakupita kama hakujui
-Kukuuliza kama nimeshawahi kukuona sehem ila sikumbuki ni wapi
-Anakuuliza hivi wewe sindio unaitwa Jumanne wakati anafahamu fika kuwa unaitwa Joshua
-nk.....nk....nk.....nk.....nk
SWALI LANGU: Kwanini hii situation hutokea watu wakikutana Dar tu?
Mbona tukikutana mikoa mingine huwa tunakumbukana vizuri tu? Au ndio uzuzu wa jiji?