Nikiwa hapa katika viunga vya jiji la Nairobi nimejaribu kupata maoni kutoka wa watu mbalimbali ambao nilitaka kufahamu kuhusu sakata la Polisi kupiga watu siku za hivi karibuni na jinsi suala Hilo lilivyoleta mtafaruku ndani na nje ya Kenya.
Wengi wamesikitishwa na kitendo hicho ila wengi walienda mbali kwa kusema kuwa matendo Kama haya ni kawaida kufanywa na vyombo vya ulinzi kwa nchi za Afrika na hasa wanawashangaa Watanzania walivyoguswa na matukio hayo wakidai kuwa Polisi wa Kenya wamekiuka sheria na Hali za binadamu.
Lakini walienda mbali kwa kusema je Tanzania matendo Kama haya au zaidi ya haya hayajawahi kufanywa na vyombo vya ulinzi, mbona huwa hatuoni Watanzania wakipaza sauti Kama walivyofanya katika suala hili la Kenya.
Ilinibidi kusitisha mahojiano nikaondoka bila kuaga.
Wengi wamesikitishwa na kitendo hicho ila wengi walienda mbali kwa kusema kuwa matendo Kama haya ni kawaida kufanywa na vyombo vya ulinzi kwa nchi za Afrika na hasa wanawashangaa Watanzania walivyoguswa na matukio hayo wakidai kuwa Polisi wa Kenya wamekiuka sheria na Hali za binadamu.
Lakini walienda mbali kwa kusema je Tanzania matendo Kama haya au zaidi ya haya hayajawahi kufanywa na vyombo vya ulinzi, mbona huwa hatuoni Watanzania wakipaza sauti Kama walivyofanya katika suala hili la Kenya.
Ilinibidi kusitisha mahojiano nikaondoka bila kuaga.