Nyamesocho
JF-Expert Member
- May 5, 2023
- 476
- 1,244
Kuna mambo yanayofanyika kwenye hii nchi mpaka unajiuliza kweli hawa watu ni watanzania kamili au wahamiaji
Hasa idara ya ulinzi na usalama na utumishi wa umma kuna vitu havipo sawa hata kidogo,na hiki kinaweza kikawa kinasababishwa na wahamiaji waliojipenyeza na kujiita watanzania
Sasa hivi ni kosa la jinai polisi afahamu raia anamiliki pesa ndefu,wanakunyang'anya na ukifuatilia unauawa,unajiuliza hivi hawa ni watanzania kweli?
Sasa hivi hatuaminiani vijiweni,hupaswi kuzungumza mambo hadharani yanayohusu nchi yako,utapotezwa ghafla,
Wala rushwa wamekithiri kila kona,kila mradi unapigwa,kila mradi lazima upigwe
Amini usiamini kuna shida kwenye uraia wa watu hawa
Nchi pekee ambayo ni rahisi sana kupenya na kuishi na watoto wako wakapewa vyeo kwenye vyama vya siasa hasa ccm na wengine kuwa viongozi na wengine kuajiriwa na serikali ya Tanzania,cha msingi unga mkono chama cha ccm kila idara utaingia kiulani sana
Amini usiamini kuna watu wapo kwenye idara za usalama ,ulinzi na usalama,ila uraia wao una utata kwa sababu ni makada huwezi kuhoji na ndo maana mambo yanafanyika ovyo ovyo kwa sababu si raia wa Tanzania kwa uchunguzi wa ndani zaidi
Ni Tanzania pekee mhamiaji anaweza akapata kitambulisho cha Taifa NIDA au,cheti cha kuzaliwa na kadi ya kupigia kura na ajira,na elimu ya juu wanapata mikopa kirahisi sana,kama huamini jaribu Kenya uone,
Wakati nikiwa chuo kikuu kuna jamaa kila likizo lazima aende Kisii Kenya,nikaanza kumfuatilia kama huyu mtu ni Mtanzania,kwa ukaribu wangu kwake aliniambia kuwa yeye ni mkenya ila amesomea Tanzania kuanzia darasa la sita,na akapata mkopo,nikataka kumfuatilia kwenye Vyombo vya dola nikagonga mwamba nikasalenda
Chunguza kuna warundi,wakongo,wanyarwanda na wakenya wengi kwenye idara za serikali halafu tutegemee uzalendo kwenye hii nchi
Mbona nchini Kenya ukikosea tu mpaka ukaingia Kenya siku hiyo hiyo upo mahakamani na siku hiyo hiyo unapigwa kifungo kisichopungua miezi 9.
Tanzania ni lazima tuangalie uraia upya,tuna wahamiaji kibao kwenye nchi na serikalini
Hasa idara ya ulinzi na usalama na utumishi wa umma kuna vitu havipo sawa hata kidogo,na hiki kinaweza kikawa kinasababishwa na wahamiaji waliojipenyeza na kujiita watanzania
Sasa hivi ni kosa la jinai polisi afahamu raia anamiliki pesa ndefu,wanakunyang'anya na ukifuatilia unauawa,unajiuliza hivi hawa ni watanzania kweli?
Sasa hivi hatuaminiani vijiweni,hupaswi kuzungumza mambo hadharani yanayohusu nchi yako,utapotezwa ghafla,
Wala rushwa wamekithiri kila kona,kila mradi unapigwa,kila mradi lazima upigwe
Amini usiamini kuna shida kwenye uraia wa watu hawa
Nchi pekee ambayo ni rahisi sana kupenya na kuishi na watoto wako wakapewa vyeo kwenye vyama vya siasa hasa ccm na wengine kuwa viongozi na wengine kuajiriwa na serikali ya Tanzania,cha msingi unga mkono chama cha ccm kila idara utaingia kiulani sana
Amini usiamini kuna watu wapo kwenye idara za usalama ,ulinzi na usalama,ila uraia wao una utata kwa sababu ni makada huwezi kuhoji na ndo maana mambo yanafanyika ovyo ovyo kwa sababu si raia wa Tanzania kwa uchunguzi wa ndani zaidi
Ni Tanzania pekee mhamiaji anaweza akapata kitambulisho cha Taifa NIDA au,cheti cha kuzaliwa na kadi ya kupigia kura na ajira,na elimu ya juu wanapata mikopa kirahisi sana,kama huamini jaribu Kenya uone,
Wakati nikiwa chuo kikuu kuna jamaa kila likizo lazima aende Kisii Kenya,nikaanza kumfuatilia kama huyu mtu ni Mtanzania,kwa ukaribu wangu kwake aliniambia kuwa yeye ni mkenya ila amesomea Tanzania kuanzia darasa la sita,na akapata mkopo,nikataka kumfuatilia kwenye Vyombo vya dola nikagonga mwamba nikasalenda
Chunguza kuna warundi,wakongo,wanyarwanda na wakenya wengi kwenye idara za serikali halafu tutegemee uzalendo kwenye hii nchi
Mbona nchini Kenya ukikosea tu mpaka ukaingia Kenya siku hiyo hiyo upo mahakamani na siku hiyo hiyo unapigwa kifungo kisichopungua miezi 9.
Tanzania ni lazima tuangalie uraia upya,tuna wahamiaji kibao kwenye nchi na serikalini