Mwingereza
JF-Expert Member
- Jan 21, 2014
- 1,111
- 2,741
Leo nikiwa mmoja ya Watanzania walioalikwa kwenye mnuso na Wakenya iliyofanyika nyumbani kwa Mkenya mmoja maeneo ya Mbezi Beach, baada ya kupiga gambe la uhakika, Wakenya walianza kuropoka. Ila nilishtushwa na kushanganzwa jinsi walivyokuwa wakisema waziwazi, kwamba maendeleo ya Kenya hasa kwenye sekta ya chakula/viwanda inahitaji Tanzania kwa 65%.
Kwa maana hiyo ni lazima waje kwa wingi maana serikali iinawahimiza kuja Tanzania. Kuna baadhi ya wakenya ambao wako Tanzania, na kazi yao kubwa ni kuwatafutia ajira wenzao nchini Tanzania. Mmoja amesema amehitimu 2016 na Kabla ya graduation, alipewa mtonyo wa kazi. Alipoenda, alipewa namba ya mtu anayefanya usahili ya watu wanaokuja Tanzania kutafuta ajira. Maongoezi yaliendelea, huku kila moja anasema ujanja wake.
Wallienda mbali zaidi na kusema, "sasa hivi ni tuoe hawa wanawake zao juu tupate hii land ambayo hiko mingi na hakuna kazi" kama unaenda huku, Tabora imejaa mapori hakuna maendeleo wowote. Mwingine akasema, Mimi sijaoa mwanamke wa TZ, lakini nina land Mbweni ya kujenga hao yangu, by June next year, na shamba ya 20 acres kule morogoro. Nataka kwenda kulima maua"
Walienda mbali zaidi na kusema, kwa sasa, Raia wao wengi wako kwenye kila idara nchini Tanzania, na wengi wao wana vibali vya kazi wanazoletewa majumbani kwao na ni halali. . Nadhani pombe iliwasahaulisha kwamba watanzania tulikuwepo. Wakaenda mbali zaidi na kujigamba walivyo na Passport na vitambulisho via Taifa. Wanasema kwamba kupata Pasi ya Tanzania ni rahisi mno, ni chapa yako tu.
Mwingine mdada, kasema yeye amekamatwa mara 4, kaambiwa hadi aondoke lakini hawezi kuondoka, maana watu wa imagreshon wanahitaji hela tu. Yaani mambo yalikuwa ni mengi. Na pale hakuna wa kurudi, ni kuoa Tanzania, kununua Ardhi, Kazi na kujenga.
Swali langu. Hivi ukioa mtanzania ardhi ni free access?
Kwa maana hiyo ni lazima waje kwa wingi maana serikali iinawahimiza kuja Tanzania. Kuna baadhi ya wakenya ambao wako Tanzania, na kazi yao kubwa ni kuwatafutia ajira wenzao nchini Tanzania. Mmoja amesema amehitimu 2016 na Kabla ya graduation, alipewa mtonyo wa kazi. Alipoenda, alipewa namba ya mtu anayefanya usahili ya watu wanaokuja Tanzania kutafuta ajira. Maongoezi yaliendelea, huku kila moja anasema ujanja wake.
Wallienda mbali zaidi na kusema, "sasa hivi ni tuoe hawa wanawake zao juu tupate hii land ambayo hiko mingi na hakuna kazi" kama unaenda huku, Tabora imejaa mapori hakuna maendeleo wowote. Mwingine akasema, Mimi sijaoa mwanamke wa TZ, lakini nina land Mbweni ya kujenga hao yangu, by June next year, na shamba ya 20 acres kule morogoro. Nataka kwenda kulima maua"
Walienda mbali zaidi na kusema, kwa sasa, Raia wao wengi wako kwenye kila idara nchini Tanzania, na wengi wao wana vibali vya kazi wanazoletewa majumbani kwao na ni halali. . Nadhani pombe iliwasahaulisha kwamba watanzania tulikuwepo. Wakaenda mbali zaidi na kujigamba walivyo na Passport na vitambulisho via Taifa. Wanasema kwamba kupata Pasi ya Tanzania ni rahisi mno, ni chapa yako tu.
Mwingine mdada, kasema yeye amekamatwa mara 4, kaambiwa hadi aondoke lakini hawezi kuondoka, maana watu wa imagreshon wanahitaji hela tu. Yaani mambo yalikuwa ni mengi. Na pale hakuna wa kurudi, ni kuoa Tanzania, kununua Ardhi, Kazi na kujenga.
Swali langu. Hivi ukioa mtanzania ardhi ni free access?